Dar es Salaam Port documentary

Dar es Salaam Port documentary

Agosti 2017
Mtwara, Tanzania


Safari za Meli kati ya bandari ya Mtwara ,Tanzania na Visiwa vya Comoro zazinduliwa


thumb_256_800x420_0_0_crop.jpg
Posted on: August 19th, 2017
Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Evod Mmanda (Mwenye suti Nyeusi) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa safari za meli ya biashara kutoka Mtwara hadi Moroni Comoro

Chemba ya Wafanya biashara, Wenye Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA) wamezindua Meli ya Biashara itakayokuwa ikifanya safari zake kati ya Mji wa Mtwara, Tanzania hadi mjini Moroni nchini Comoro. Zoezi hilo limefanyika jana katika eneo la bandari ndogo iliyoko karibu na hotel ya Southern Cross zamani ikiitwa Msemo Hotel mjini Mtwara.

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo ambao utaanza na meli ya VILLE DE FOMBONI MOH 0022, Mwenyekiti wa TCCIA mkoa wa Mtwara Swallah Said Swallah amesema kupatikana kwa usafiri huo ni suala ambalo wamelipigania kwa muda mrefu ikiwani hatua muhimu ya kuunganisha wafanyabiashara wa mkoa wa Mtwara na wale wa Comoro.

Amesema ziko sababu nyingi muhimu za kuruhusu biashara hiyo hasa kutokana na jiografia ya maeneo haya mawili. Amesema umbali kutoka Mtwara hadi Comoro ni kilomita 321 wakati nchi zingine ambazo zimekuwa zikifanya biashara na Comoro ni kilomita zaidi ya 3000.

Source: Masuha TV
Amesema hadi mwaka 2016 Tanzania ambayo ndiyo kijiografia iko karibu zaidi na Comoro ilikuwa ni ya 17 kati ya nchi ambazo zimekuwa zikifanya biashara na nchi hiyo. Amezitaja nchi ambazo zimetawala soko hilo kuwa ni pamoja na Ufaransa, Afrika Kusini, Nchi za Kiarabu, Madagascar na nchi zingine. Amewataka wananchi wa Mkoa wa Mtwara kuchangamukia fursa hiyo ili kujiongezea kipato.


Kwa upande wake Mgeni Rasmi wa ufunguzi huo, Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Mhe. Evod Mmanda ambaye alikuwa akimuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mheshimiwa Halima Dendego amesema kuna kila sababu ya Mkoa wa Mtwara kunufaika na biashara hiyo kwani hakuna bidhaa ambazo zinahitajika Comoro ambazo hazipatikani Mtwara. Amesema mahitaji makubwa ya Comoro ni pamoja na mazao ya vyakaula kama Nafaka, Magimbi, Viazi mbogamboga ambavyo vyote kwa pamoja vinapatikana Mtwara.

Mheshimiwa Mmanda amewataka wananchi wa Mtwara kuchangamukia fursa badala ya kukaa wakaendelea kulalamika hatimaye soko hilo kutawaliwa na watu wa nje ya mkoa.

Kwa upande wao baadhi ya wananchi ambao wamekuwa wakifanya biashara na nchi hiyo wamesema biashara ya bidhaa kutoka Tanzania kwenda Comoro inalipa.

Mfanyabiashara wa mbogamboga, Rukia Liyumba amesema vyakula kama mboga za majani na viungo vinahitajika sana huko Comoro. Ametolea mfano kuwa nyanya ambazo hapa Mtwara zinaweza kununuliwa kwa shilingi 500, mjini Moroni zinauzwa shilingi 2000.

Aidha mfanyabiashara Mwajuma Athumani anasema amekuwa akipeleka korosho ambazo anazinunua hapa mjini Mtwara kwa shilingi 20,000 kwa kilo lakini nchini Comoro bidhaa hiyo huuzwa hadi shilingi elfu arobaini. Amewataka wananchi wa Mkoa wa Mtwara kuchangamkia fursa ya biashara hiyo.
Source: Single News | Mtwara Region
 
January 2018

How to collect Vehicle at Dar-es-Salaam port Tanzania within 48hrs.


Source: Peter Kinabo
 
Wamepunguza mihela wanayochaji?
Wahusika wa mazingira wanapenda kuona migari chakavu haibadilishwi.. kisa kodi kubwaaaa.. ndio maana wengi wanapakimbia..

Miaka na miaka bado nasema wana njia nyingi kujipaisha hapo na watumia bandari wakafurahia hadi kuwafukuza.. ndio maana majanga hayaishi..
 
Tanzania International Container Terminal Services (TICTS) started operating from the port of Dar-es-Salaam, Tanzania in year 2000

Source: Iview studio
 
Tanzania offers to refurbish Port Bell - Kampala railway in Uganda . 2 locomotives and 100 wagons to cater for Uganda bound cargo on Tanzania central railway line


Source: NTV Uganda
 
Tanzania: A busy Mkoani sea port in Pemba on the south end of the island.


Source: Talib Mohd
 
naimani 2020 baada ya kukamilika kwa expansion of dar es salaam port itakua na uwezo waku handle more than 30 million tons inshaallah... pigeni kazi TPA
 
MARITIME BUSINESS: 80% OF RWANDA's GOODS USE DAR ES SALAAM PORT
Tanzania Truck Owners Association CEO at Tanzania-Rwanda Trade Forum in Kigali 2016

Our CEO Emmanuel Kakuyu speaking at the May 2016 Tanzania-Rwanda Trade Forum in Kigali, Rwanda promoting trade between the two countries ; TATOA ; usage of trucks belonging to TATOA members and the Dar-Es-Salaam Port.

Source: Lupo Chambaka

Sasa mnahangaika nini na Rwanda? Hiyo Rwanda si kama mkoa mmoja tu wa tz?
 
TPA kitengo cha TEHAMA ndio wanakula mishahara kufanya kazi kama hizi, badala yake wanalala tu na kukuachia wewe ndio uwafanyie kazi yao, TPA si wapo humu?
 
DAR ES SALAAM PORT DOCUMENTARY

Dar es Salaam is Tanzania’s principal port that handles about 95% of Tanzania’s international trade. The port serves the landlocked countries of Malawi, Zambia, DR Congo, Burundi, Rwanda and Uganda.

According to World Bank analysis, if Dar es Salaam port reached the same level of efficiency as Mombasa, the Tanzanian economy and the East African region would gain almost $1.8b and $800m annually. Currently, Tanzania ports have the capacity of handling 20 million tonnes of cargo per annum.

Source: TPAHQ TPAHQ

Nimeangalia hii video yote, kwa kweli hii bandari ni kama bandari ya kijiji, iko local sana hadi inatia aibu, huwezi amini eti ndio inahudumia East Africa
 
TPA kitengo cha TEHAMA ndio wanakula mishahara kufanya kazi kama hizi, badala yake wanalala tu na kukuachia wewe ndio uwafanyie kazi yao, TPA si wapo humu?

Ndilo tatizo la mashirika yetu ya umma TPA, TAZARA,, ATCL TTCL wapo wapo ngoja Jamiiforums ijitahidi kuonesha njia kwa vitendo wanatakiwa vipi kuwa ktk idara ya masoko na public relations . Bila kusahau Jamiiforums kuwa kimbilio la kumbukumbu rejea ya watanzania.
 
Tanzania Ports Authority TPA

Source: uchukuzi na maendeleo
 
April 25, 2018
Dar-es-Salaam, Tanzania
Meli kubwa yenye ma-container 5063 yatia nanga ktk bandari ya Dar-es-Salaam na hivyo kuashiria uwezo wa bandari kupokea meli kubwa kama bandari ya Durban, South Africa.

Vessel IMO 9467055 Northern Power container ship at Dar es Salaam port in Tanzania. Vessel gross tonnage 47855 : Dead weight 59346 t : Overall length x breadth extreme 264.27m x 32.29m : Flag Liberia.


source: azam tv
 
25 May 2018
Expansion of the port of Dar es Salaam in Tanzania
International trade in Southern and Eastern Africa has mostly been through a small number of ports, many in need of development. In the past year, however, improvements have started to be made. In July 2017, the World Bank approved a 345 million dollar loan for the expansion of the port of Dar es Salaam in Tanzania. And in October, the Japanese government announced it would provide a 350 million dollar loan for the expansion of Kenya's Mombasa port. CGTN's Angelo Coppola sat down with Hine van den Endeh of Swedish company SAAB to discuss maritime infrastructure developments.

Source : CGTN AFRICA
 
Real time video capture a container vessel leaving the port of Dar-es-Salaam,Tanzania.

 
22 Jun 2018
Tanzania Ports Authority Dar es Salaam port
Dar es Salaam Port through the Central Corridor is opening Uganda to global trade and prosperity. We have efficient port services, facilities and a cost effective route to international markets for both containers and conventional cargo. We are your gateway to global trade and prosperity.

Source : Terp Media
 
Luzira Port Bell to Mwanza and Dar-es-salaam Tanzania
Uganda Railways Corporation with support from the Tanzanian Ports Authority on Tuesday opened the port of Portbell which in effect revitalises the central corridor through Lake Victoria to Mwanza and Dar-es-salaam after ten more than ten years. This is part of the onslaught by the Tanzanians to get Ugandans to use the Dar-es-salaam port to import after surrendering everything to the Kenyans through Mombasa.

Source : NTV Uganda
 
November 27, 2018
Dar -es-Salaam, Tanzania

Single Window System at Dar-es-Salaam Port

Electronic single window system enables international (cross-border) traders to submit regulatory documents at a single location. It enhances clearance efficiency and reduces time taken to clear cargo by enhancing sharing information. This was revealed today when members of the East African Legislative Assembly paid an official tour of Dar es Salaam Port in Tanzania to understand how the 'Single Window System' works.

Source: Daily News Digital
 
Back
Top Bottom