MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jan 11, 2010 Thread starter #2 Hapa ni Kigoma mwisho wa Reli. Shule hiyo,
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jan 11, 2010 Thread starter #3 eneo la Ubungo tanesco
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jan 11, 2010 Thread starter #4 kitu kimekamata ile mbaya katika barabara ya Bagamoyo Rodi mchana
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jan 11, 2010 Thread starter #5 Kijana anayesadikiwa kuwa ni kibaka wa simu, akijaribu kuzuia sikio lake la kushoto ili yasikatwe kwa panga
Kijana anayesadikiwa kuwa ni kibaka wa simu, akijaribu kuzuia sikio lake la kushoto ili yasikatwe kwa panga
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jan 11, 2010 Thread starter #6 Askari wa jiji sijui ndio ajira mpya kwao???
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jan 11, 2010 Thread starter #7 Chama Cha Mapinduzi-Magomeni Kagera.
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jan 11, 2010 Thread starter #9 Bob Marley bado anaishi tu, Hapa ni Bibi Titi (uwt)
MaxShimba JF-Expert Member Apr 11, 2008 35,772 4,054 Jan 11, 2010 Thread starter #10 Ng'ombe wakiwa wakibalizi upepo mwanana kabisa katika fukwe ya bichi ya Kawe
Pape JF-Expert Member Dec 11, 2008 5,488 79 Jan 11, 2010 #11 MaxShimba said: Ajali Ubungo. Click to expand... i feel sorry for this guy... dah walimchomoa humo salama, mmmh....
MaxShimba said: Ajali Ubungo. Click to expand... i feel sorry for this guy... dah walimchomoa humo salama, mmmh....
PakaJimmy JF-Expert Member Apr 29, 2009 16,203 8,725 Jan 11, 2010 #12 Vituko viingi. Mpangilio maalum wa mji unakosekana!
Injinia JF-Expert Member Feb 26, 2008 849 26 Jan 11, 2010 #13 MaxShimba said: Hapa ni Kigoma mwisho wa Reli. Shule hiyo, Click to expand... Duh!! Machozi yananilenga lenga. Shule!! Halafu gavana wa BoT anajengewa nyumba ya bei gani vile?? Hata wazazi wangu waliosoma shule ya msingi 1930s hawakuwahi soma shule ya aina hii. SHAME!!
MaxShimba said: Hapa ni Kigoma mwisho wa Reli. Shule hiyo, Click to expand... Duh!! Machozi yananilenga lenga. Shule!! Halafu gavana wa BoT anajengewa nyumba ya bei gani vile?? Hata wazazi wangu waliosoma shule ya msingi 1930s hawakuwahi soma shule ya aina hii. SHAME!!
Ambassador JF-Expert Member Jun 2, 2008 933 75 Jan 11, 2010 #14 MaxShimba said: Ajali Ubungo. Click to expand... Hivi hao jamaa wote waliozunguka hapo wanatoa msaada kweli? Mbona wengine wanaonekana kama vibaka?
MaxShimba said: Ajali Ubungo. Click to expand... Hivi hao jamaa wote waliozunguka hapo wanatoa msaada kweli? Mbona wengine wanaonekana kama vibaka?
Teamo JF-Expert Member Jan 9, 2009 12,272 1,035 Jan 11, 2010 #15 hahaha! karibu nyumbani mkuu maxshimba!THIS IS HOW WE DO
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,375 Jan 11, 2010 #18 jamanai thanx Maxshimba kweli DSM ni raha hiyo picha ya kwanza imeniacha hoi
Safari_ni_Safari JF-Expert Member Oct 5, 2007 23,268 17,099 Jan 11, 2010 #19 MaxShimba said: kitu kimekamata ile mbaya katika barabara ya Bagamoyo Rodi mchana Click to expand... Ulikuwa Mzalendo Pub mkuu
MaxShimba said: kitu kimekamata ile mbaya katika barabara ya Bagamoyo Rodi mchana Click to expand... Ulikuwa Mzalendo Pub mkuu