Dar Es Salaam, Ni Rahaa kweli kweli

kitu kimekamata ile mbaya katika barabara ya Bagamoyo Rodi mchana
 
Kijana anayesadikiwa kuwa ni kibaka wa simu, akijaribu kuzuia sikio lake la kushoto ili yasikatwe kwa panga
 
Bob Marley bado anaishi tu, Hapa ni Bibi Titi (uwt)
 
Ng'ombe wakiwa wakibalizi upepo mwanana kabisa katika fukwe ya bichi ya Kawe
 
Hapa ni Kigoma mwisho wa Reli. Shule hiyo,


Duh!! Machozi yananilenga lenga.
Shule!! Halafu gavana wa BoT anajengewa nyumba ya bei gani vile??
Hata wazazi wangu waliosoma shule ya msingi 1930s hawakuwahi soma shule ya aina hii.
SHAME!!
 
hahaha!
karibu nyumbani mkuu maxshimba!THIS IS HOW WE DO
 
jamanai thanx Maxshimba kweli DSM ni raha hiyo picha ya kwanza imeniacha hoi
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…