bora hilo mkuu maana nina wasiwasi na watu wa Dar es Salaam. Wanaongea sana lakini kwa vitendo na uelewa ni kama Mzee Akilimali na wenzakeTena nashukuru inarushwa live ili mkwara uwafikie hata waliojificha magogoni!
bora hilo mkuu maana nina wasiwasi na watu wa Dar es Salaam. Wanaongea sana lakini kwa vitendo na uelewa ni kama Mzee Akilimali na wenzake
bora hilo mkuu maana nina wasiwasi na watu wa Dar es Salaam. Wanaongea sana lakini kwa vitendo na uelewa ni kama Mzee Akilimali na wenzake
Tuheshimiane. Yani unatufananisha na huyo mzee?
Kweli mkuu, DSM wanajifanyaga ma-time taker sana, lakini kwa la kwesho sina mashaka na turn up ya watu. Tutafunika bila shaka.bora hilo mkuu maana nina wasiwasi na watu wa Dar es Salaam. Wanaongea sana lakini kwa vitendo na uelewa ni kama Mzee Akilimali na wenzake
Kesho Cdm jiandaeni na aibu ya mwaka,hapa mji wa wajanja nani aje kwenye izo vurugu!
Labda watu kutoka kimara.
wakati ambapo yamebakia masaa machache CDM iteke dsm tunawasihi wananchi wa dsm msituangushe kwa sababu A.town na R.city 2shamaliza bado nyinyi. Ili ulimwengu ujue TZ inaelekea kwenye mabadiliko makubwa ya kiutawala.wakuu nawasilisha.
Kesho Cdm jiandaeni na aibu ya mwaka,hapa mji wa wajanja nani aje kwenye izo vurugu!
Labda watu kutoka kimara.
aibu utabaki nayo wewe gamba fisadi na hatukuhitaji kwani hamna wali wa kofia za bure.Kesho Cdm jiandaeni na aibu ya mwaka,hapa mji wa wajanja nani aje kwenye izo vurugu!
Labda watu kutoka kimara.
Kwa hiyo wachaga tu ndio wenye akli sio? ahaaa ndio maana wanasema M4C movement for chagas ohooooooo