MATHIAS KABYEMERA
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 1,793
- 572
UKAWA kupata majimbo mengi kwangu ni faraja maana wataondoa kelele za NDIOOOOO
Sehemu wanazoongoza CUF tayari tofauti hipo inaonekana, serikali za mitaa ya CUF yote Dar hakuna kutoka pesa mwananchi kwa huduma yoyote, hata baruwa ni bure, nakuhakikishia sehemu wakishaichukuwa sahau kurudi ccm, hawa jamaa nawakubari kwa utendaji wa hizi local government.
Hata Zanzibar wapeni tu ushindi wao utakuja kukumbuka maneno yangu mambo yatakavyokuwa super Zanzibar.
Ni kweli mkuu Matola, Watanzania sijui nani katuloga! nashangaa Mtwara ccm kupata kura nyingi vile.
Jiulize why Hospital ya Mirembe iko Dodoma!!Mpaka Morogoro wapinzani wametoboa!!kweli generation ya wajinga inaanza kuondoka
UKONGA vepeee!!! au haipo Dar siku hizi?
Ukonga tulimaliza kazi siku ile ile, kamanda Mwita Waitara Wa Ukawa (CDM) kachukua kiti
Timu Magufuli tupo hapa, tunawakilisha mwanzo mwisho.
Rais Magufuli hakika wewe ni chaguo la wengi.
Mwenyezi Mungu akubariki, Amin
Mtwara si wanaishi mazombie then wanawake ndio kikwazo cha kutoitoa fisiem madarakani.
Kwa hiyo unamaanisha Ilala municipal council iko under UKAWA? Na jiji lote la DAR?
Mbagala bado?
...Hivi Chadema mwaka 2010 walikua na wabunge wangapi wa kuchaguliwa majimboni?
Timu Magufuli tupo hapa, tunawakilisha mwanzo mwisho.
Rais Magufuli hakika wewe ni chaguo la wengi.
Mwenyezi Mungu akubariki, Amin
Mkuu si hivyo;
Mtwara kusema ukweli wanataka mabadiliko isipokuwa kilio tulichonacho majimbo mengine na katika katokeo ya urais ndivyo iivyo mikoa ya kusini.
Kule ni uchakachuaji. MSiwe na shaka tutakkutana mahakamani na vielelezo