Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

Na Temeke baba wa yule bibi bomba mtemvu chaliiiiiiiiiii
CUF oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee..........!!!
 
Temeke nako yule Baba wa bibi bomba mtemvu chaliiiiiiiiiiiiiiiii.........
CUF oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.....!!!
 
Kwa hali ilivyo na matokeo yanavyoendelea kutoka ni dhahiri jiji la dar kwa ujumla wake linakwenda kuwa chini ya mamlaka ya upinzani(ukawa). Kwa mara ya kwanza ccm kinakuwa chama cha upinzani.

Kuna kina dalili upinzani unachukua majimbo ya;

1-ubungo
2-kawe
3-kinondoni
4-temeke
5-mbagala
6-ukonga
7-kibamba.

Mpaka sasa kura zangu nilizopiga jimbo la temeke nahisi ntapoteza moja tu ya Urais.
 
Mkuu kama ulikuwa hujui basi ujue sasa hivi ndio kumekucha. Huu sio ule uchaguzi wa mwaka 95 na 05 wa kumpambanisha Mrema na CCM. Huu ushaguzi ni very special, VERY SPECIAL. Magufuli akishinda nitajitolea kukuzawadia gari kama ile aliyoanguka nayo NAPE. Tutafutane mbele ya safari.


what amazes me is that, huyu mtu alikuwa kwenye mstari akaona watoto wadogo wanapiga kura, kwanini haku report? akilalamika sasa hivi inakuwa shida kufuatilia. Kwanini asi report na kukaa mpaka sasa hivi?

Kuhusu ku support CCM, mimi naona mabadiliko ya kweli yako CCM tu, hata kama speed ni ndogo, huko nje wanataka kujenga ghorofa za udongo wa mfinyanzi. HAITATOKEA wengi wameshashtuka na ndio matokeo haya.
 
Back
Top Bottom