Dar es Salaam kuna kijiji?

Dar es Salaam kuna kijiji?

vijiji vipo, hivi majuzi nilipita njia ya kutoka kigamboni kuelekea kimbiji (wilaya ya temeke) vijiji vipo vingi tu, hamna umeme na lami pia haijakamilika, kwa ufupi ni kijijini ingawa nao wapo jijini dsm.
 
Haya ndo matatizo ya kukurupuka kucoment bila kusoma mada, ebu soma mada afu coment upya

Aliyekurupuka ni wewe unayenirudisha kwenye mada bila kufuatilia mtiririko wa majibizano ulionifikisha hapo nilipofika.
 
Huenda ikawa amemaanisha kuna vijiji kama mikoa mingine au ni city tu mkubwq vijiji vipo vingi tu mkubwa mkuranga kimbiji msanga lugwadu na vingine vyote ni vijiji vya dar
Mkuu huko ni pwani
 
We kama mkoa unalingana na kata mbili za kijima na misasi ambazo ziko kwetu huku missungwi unategemea nini?! Eti ukiwa magomeni kinondoni wilaya, ukifika tu boma ilala wilaya, ukienda tu mbele kidogo veta temeke wilaya. Wakati hapo kwa gari bila foleni ni dakika 3 tu.
Sogea sogea mpaka isakamawe huku mhola ngosha?
 
Back
Top Bottom