Nataka kujua kama mkoa dar es salaam ilipo ikulu,wanapoishi yanga na Simba,jiji lenye stendi ya mikoani.
Je kijijini wapi dar?au hamna kijiji?
Nataka kujua kama mkoa dar es salaam ilipo ikulu,wanapoishi yanga na Simba,jiji lenye stendi ya mikoani.
Je kijijini wapi dar?au hamna kijiji?
Nataka kujua kama mkoa dar es salaam ilipo ikulu,wanapoishi yanga na Simba,jiji lenye stendi ya mikoani.
Je kijijini wapi dar?au hamna kijiji?
We kama mkoa unalingana na kata mbili za kijima na misasi ambazo ziko kwetu huku missungwi unategemea nini?! Eti ukiwa magomeni kinondoni wilaya, ukifika tu boma ilala wilaya, ukienda tu mbele kidogo veta temeke wilaya. Wakati hapo kwa gari bila foleni ni dakika 3 tu.
mwenge kuna kijiji?
Ukubwa wa pua si wingi wa makamasi.
Huo mfano wako wauna maana katka hili, elewa kwamba mkoa wa dar ungekuwa mkubwa kama mikoa mingene vijiji vingekuwepo vingi tu, mfano jiji la mwanza ambalo ni wilaya ya nyamagana na ilemela(manicipal) ingekuwa ndo unahesabiwa mkoa vijiji vingetoka wapi? Lakin sasa ukitoa ilemela na nyamagana (jiji) kuna sengerema, ukerewe, magu, kwimba, missungwi ambapo ukubwa wa kwimba ni zaidi ya mkoa wa dar.
Mkulanga na bagamoyo ingekuwa sehemu ya dar ingekuwaje?
Mambo kimtandao mtandao tu siku hizi.
Mkoa mkubwa unaweza kuwa hauna deal, kisehemu kidogo tu kama Singapore, Manhattan au Hong Kong zikawa na deal kibao.
Acha kuishi kwenye zama za mawe.