Dar es Salaam kuna kijiji?

Dar es Salaam kuna kijiji?

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Nataka kujua kama mkoa dar es salaam ilipo ikulu,wanapoishi yanga na Simba,jiji lenye stendi ya mikoani.
Je kijijini wapi dar?au hamna kijiji?
 
Huenda ikawa amemaanisha kuna vijiji kama mikoa mingine au ni city tu mkubwq vijiji vipo vingi tu mkubwa mkuranga kimbiji msanga lugwadu na vingine vyote ni vijiji vya dar
 
Huenda ikawa amemaanisha kuna vijiji kama mikoa mingine au ni city tu mkubwq vijiji vipo vingi tu mkubwa mkuranga kimbiji msanga lugwadu na vingine vyote ni vijiji vya dar
mkuranga na kimbiji vipo ndani ya dar?
 
Huenda ikawa amemaanisha kuna vijiji kama mikoa mingine au ni city tu mkubwq vijiji vipo vingi tu mkubwa mkuranga kimbiji msanga lugwadu na vingine vyote ni vijiji vya dar

Mkuranga cio dar ni miongoni mwa wilaya za mkoa wa pwani(coast region).
 
Yah ni dar long lakin siku hizi naona mipaka na kukuza miji vimewekwa pwani hata airpory ilikua tmk lakin siku hz ipo ilala
 
Wakati wa nyerere kulianzishwa kijiji cha ujamaa Geza ulole..now ni kitongoji cha upper middle class..na matajiri .
 
Kijiji cha ujamaa mvuti, wilaya ya Ilala.
 
Nataka kujua kama mkoa dar es salaam ilipo ikulu,wanapoishi yanga na Simba,jiji lenye stendi ya mikoani.
Je kijijini wapi dar?au hamna kijiji?

Vipo kimoja wapo ni mwenge kijijini
 
Wakati wa nyerere kulianzishwa kijiji cha ujamaa Geza ulole..now ni kitongoji cha upper middle class..na matajiri .
kwahiyo dar kuna vijiji?
 
Back
Top Bottom