Dar es Salaam ibadilishwe jina

Dar es Salaam ibadilishwe jina

Habari wakuu. Hili jina ni la jiji kubwa kuliko yote nchini chakushangaza ni la kiarabu wakati nchi ni ya kiafrika tena wabantu.
Kwakweli ili kulinda utambulisho wetu napendekeza jina libadirishwe liwe la kibantu kama mikoa mingine tena la kizaramo kabisa.
Haiingiii akilini kuwa na jina la kiarabu kwa mji wetu huu wa kibiashara.
Iitwe Mlonganzila
 
Naomba nieleweke nia ya mada hii ni kutambulisha utamaduni wetu na lugha yetu kwenye majina ya mikoa yetu ili iakisi asili yetu. Wala sisapoti hata kutumia majina ya kiingereza kwa miji yetu.
Pia kiswahili maneno mengi ni ya kibantu kwa asilimia kubwa. Maneno mengi ya kiswahili yanafanana na lugha zetu za asili kuliko kiarabu. Hivo ninavopinga jina la Dar sipingi dini ya mtu maana hakuna uhusiano huo.
 
Ziwa Victoria nalo libadilishwe jina,haiwezekeni ziwa liko kwa wabantu alafu linapewa jina la malikia wa zamani wa mkoloni wetu uingereza.liitwe ziwa Nyanza
Naunga mkono hoja.
 
Labda utueleze why kuna es badala ya el?? Why tupate mikanganyiko isiyo ya lazma
Unaonekana hata hujui kwanini umeanzishwa uzi.. Unataka ujue maana ya es badala ya el au unataka jina lote libadilishwe? Sema usikike
 
Mbona tulishabadilisha kitambo

tunaita Bongo.....na tz inaitwa

bongoland..hapo vp.
 
Tembelea mji wa kale Mombasa na Fort Jesus uone maana ya Old is gold.Pia hakukuwa na sababu ya kuvunja yale majengo mtaa wa samora,ocean road na kwingineko.So let us remain with our good name Dar es Salaam
 
Lingekua Washington usinge sema libadirishwe kinacho kusumbua hapo ni roho mbaya ya ugalatia unashindwa kuangalia nini maana ya jina la dar es laaam sema sasa na ikulu ivunjwe kwa sababu imejengwa na waarabu
Salisbury- Harare
Rhodesia- Zimbabwe
IvoryCoast- Ougadugu
Cape Verde- Burkina Faso
Congo- Zaire
Lawrence Marquess- Maputo
Ugalatia uko wapi hapo wewe Mamumaa?
 
Ni kweli ila kiswahili kimetohoa hayo maneno hivo hayapo kama yalivo kwa kiarabu yanatamkwa kibantu. Dar es Salaam imabaki kiarabu kabisa tofauti na maneno ya kiswahili yenye asili ya kiarabu.
Waambie hao hawajui kuwa hakuna lugha ilokamilika. Ndo maana lugha hukopa maneno toka lugha ntingine. Halafu kiswahili kwa asilimia kubwa ni kibantu kwa ushahidi wa kihistoria na kiisimu. Ova.
 
Naomba nieleweke nia ya mada hii ni kutambulisha utamaduni wetu na lugha yetu kwenye majina ya mikoa yetu ili iakisi asili yetu. Wala sisapoti hata kutumia majina ya kiingereza kwa miji yetu.
Pia kiswahili maneno mengi ni ya kibantu kwa asilimia kubwa. Maneno mengi ya kiswahili yanafanana na lugha zetu za asili kuliko kiarabu. Hivo ninavopinga jina la Dar sipingi dini ya mtu maana hakuna uhusiano huo.
Itabidi ubadilishe maneno mengi ya kiswahili,hata hilo neno Swahili ni kiarabu,Tabora ni kiarabu,Ilala ni kiarabu,Tabata ni kiarabu.
Kiswahili 26% ni maneno ya kiarabu.Namba 1 2 3 4 5 6 7 8 9 ni namba za kiarabu,kutumia mkono wa kulia ni kiarabu.Na pia kuna majengo yanayotuingizia pesa katika utalii,yameachwa na waarabu,pia tubadilishe.Majina ya watu,miji,mitaa itabdi tubadilishe.Asili ya mwafrika sio nguo,ni kuvaa vifiniko kwenye sehemu za siri, pia tuache kuvaa nguo,turudie vibandiko vya sehemu za siri.Mwafrika asili yake ni nyumba za nyasi na matope,na kula nyama za kuwinda za porini,pia tuanze kuishi nyumba za nyasi na tope,na kula nyama za porini za kuwinda.Hapo ndio tutafuata utamaduni wetu sawa.Halafu kumbuka waafrika wote sio wabantu,kama wamasai,wasomali,wairiteria,waethiopia,watusi nk.Acha ubaguzi ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu,huwezi kuacha,tukimaliza majina ya kiarabu tutakuja kwenye makabila yetu,utasema Mbeya ni jina la kiswahili,libadilishwe,Moshi ni jina la kiswahili,libadilishwe,Arusha la kimasai libadilishwe,Kilimanjaro nk
 
Umeanza na majina ya miji ili baadae uingiie kweny majina ya watu hasa viongozi, yetu macho we chokonoa tuu utaipata kali yako
 
Itabidi ubadilishe maneno mengi ya kiswahili,hata hilo neno Swahili ni kiarabu,Tabora ni kiarabu,Ilala ni kiarabu,Tabata ni kiarabu.
Kiswahili 26% ni maneno ya kiarabu.Namba 1 2 3 4 5 6 7 8 9 ni namba za kiarabu,kutumia mkono wa kulia ni kiarabu.Na pia Luna majengo yanayotuinyizia pesa katika utalii,yameachwa na waarabu,pia tubadilishe.Majina ya watu,Meiji,mitaa itabdi tubadilishe.
Mimi nimependekeza tuanza na huu mji maana jina lake limekua tofauti kabisa na majina ya kibantu. Na uhakika hata maneno uliyotaja kwa kiarabu hayaandikwi hivo ila yametoholewa kuwa ya Kiswahili.
Hata kule spain waarabu walitawala kusini pakiitwa Al Andalus ila leo pale panaitwa Andalusia kwa kispaniola baada ya Waarabu kuondolewa. Jina Al Andulus liliondoka na waarabu wake.
 
Mimi nimependekeza tuanza na huu mji maana jina lake limekua tofauti kabisa na majina ya kibantu. Na uhakika hata maneno uliyotaja kwa kiarabu hayaandikwi hivo ila yametoholewa kuwa ya Kiswahili.
Hata kule spain waarabu walitawala kusini pakiitwa Al Andalus ila leo pale panaitwa Andalusia kwa kispaniola baada ya Waarabu kuondolewa. Jina Al Andulus liliondoka na waarabu wake.
Hiyo pia ni kiarabu,tena hapo ndio kiarabu kinachoitwa classic Arabic.Uarabu huwezi kuuondoa dunia,mpaka maneno mengi ya kisayansi ni ya kiarabu.
 
Back
Top Bottom