Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,334
Kumbe mpiga kura wa Magufuli mtu wa kijijini ili ayaone maendeleo ni lazima asafiri akayaone si ndio? Sio yamfuateMara ya mwisho kusafiri kwako ni lini??
Kajenga kijiji gani?Hujaona Barbara??.
Muhimbili na Benjamin Mkapa siku hizi ni kijijini?Muhimbili, hospitali ya mkapa Dodoma,
Hapa ndiko nakokupenda sana,kajenga vituo vipya vya afya madawa na facilities zingine mmepeleka wapi?vituo vya kila kata n.k.... Uliviona lini hivi wewe?.
Kuna vituo vya afya navifahamu ukienda una CHF hupati hata panadol ukienda na NHIF unapata panadol tu zingine unaonyeshwa duka ambalo linapokea NHIF
Hiyo miundo mbinu Magufuli kamuwekea mpiga wake kijijini lini?Ukiwa mtu mwenye akili anathamini kuwekewa miundo mbinu ya kutafuta hela kuliko kupewa hela. Nina mashaka na uelewa wako
Mtu wa kijijini hata elfu tano ana koswa na hana namna kabisa ya kuipata.
.
Huwezi kuwa na mashaka na uelewa wangu kwa sababu tu ya kumkosoa kiongozi unayempenda huu ni ujinga