polokwane
JF-Expert Member
- Dec 16, 2018
- 3,362
- 5,809
Ukatoliki na upadre sio siasa bwashwee usichanganye mambo.Mapadri wote Tanzania nzima?
Hao mapadri hawana uhuru wa kuamua kuhusu matumizi ya miili yao ama ukiwa padri mwili ni wa kanisa ama askofu?