PostGE2025 Daniel Sillo achaguliwa kuwa Naibu Spika Mpya wa Bunge kwa kura 371

PostGE2025 Daniel Sillo achaguliwa kuwa Naibu Spika Mpya wa Bunge kwa kura 371

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wamemchagua Mbunge wa Babati Vijijini, Daniel Sillo kuwa Naibu Spika wa Bunge. Sillo amechaguliwa leo Novemba 13, 2025 kwa kupata kura zote za ndio (371) zilizopigwa na wabunge huku akiwa mgombea pekee aliyegombea nafasi hiyo. Tayari Sillo ameapishwa kushika wadhifa huo huku akiahidi ushirikiano kwa wabunge wote.

Kabla ya wadhifa huo, Sillo amewahi kushika nafasi mbalimbali kama Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi na Mwenyekiti wa Kamati ya Bajeti.

 
Katika bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Daniel Baran Sillo ametangazwa kuwa naibu spika wa bunge hilo huku nafasi za ya Spika wa bunge ikiwa inashikiriwa na Mussa Azzan Zungu


 
Back
Top Bottom