PreGE2025 Daniel Chongolo ajitosa jimbo la Makambako

PreGE2025 Daniel Chongolo ajitosa jimbo la Makambako

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Wakuu

Daniel Chongolo ameamua kujitosa katika mbio za kugombea ubunge zinazoendelea kupitia tiketi ya CCM.

===

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika

"Namshukuru Mungu, nimefanikiwa kuchukua na kurejesha fomu salama za kuomba ridhaa ya Ubunge katika jimbo la Makambako mkoani Njombe. Lengo ni utumishi, na kwa hakika nipo tayari. ##NaendeleaKujifunza"

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
1751110522556.png
 
Wakuu

Daniel Chongolo ameamua kujitosa katika mbio za kugombea ubunge zinazoendelea kupitia tiketi ya CCM.

===

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika

"Namshukuru Mungu, nimefanikiwa kuchukua na kurejesha fomu salama za kuomba ridhaa ya Ubunge katika jimbo la Makambako mkoani Njombe. Lengo ni utumishi, na kwa hakika nipo tayari. ##NaendeleaKujifunza"
View attachment 3386735
Wataroganaaaa na yule mwenye mji Jah People....mchawiiiii
 
Wakuu

Daniel Chongolo ameamua kujitosa katika mbio za kugombea ubunge zinazoendelea kupitia tiketi ya CCM.

===

Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika

"Namshukuru Mungu, nimefanikiwa kuchukua na kurejesha fomu salama za kuomba ridhaa ya Ubunge katika jimbo la Makambako mkoani Njombe. Lengo ni utumishi, na kwa hakika nipo tayari. ##NaendeleaKujifunza"
View attachment 3386735
Kwa jah people ngumu kutoboa ila wanamakambako watakuwa wajinga kumwacha huyu mwamba
 
Huyu anachukua Jimbo asubuh Jah saiz amesha choka
 
Na
Hawezi kosa uwazari pia ana influence sana ndani ya ccm kwaiyo kumuacha chongolo kwa ajili ya japipo ni ujinga
NI mtu mwenye maono makubwa na makambako na makambako ilipofikia inahitaji mtu Kama huyo
 
Deo Sanga mzee wa Nitawajengea statonary apumzike sasa
Aendelee na uenyekiti wa CCM mkoa unamtosha kwa Sasa kwa Kasi ya ukuaji wa mji wa makambako unahitaji chongolo mwenye maono ya VIWANDA na biashara atengeneze mazingira na kushawishi wawekezaji ili makambako iwe centre kubwa ya biashara kwa mikoa ya IRINGA NJOMBE na RUVUMA na WILAYA zingine za pembezoni Kama MBARALI , kilombero ,mlimba nk na kufikia huko Kuna hitaji kongani za VIWANDA za kutosha ,bandari kavu ,uwanja wa ndege , vyuo vikuu na vyakati nk
 
Back
Top Bottom