Interested Observer
Platinum Member
- Mar 27, 2006
- 4,814
- 7,454
Kinachonishangaza hapa wengi hawaridhiki na CCM System, lakini wanafanya comment kwa kudhani ati Fulani atakuwa afadhali. Chongolo au Jah People, wote watakuwa chini ya CCM System, Chawaism, hakuna jipya hapo. Chawa ni Chawa tu hata awe nani, ili mradi yupo CCM hakuna unafuu. Reforms------------------!!