Damaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2018
- 6,132
- 10,514
Daniel Anthony, kijana kutoka Nigeria ambaye anafahamika zaidi kwa jina la kisanii “Jay Boogie”, ameibua mjadala mkubwa kwenye mitandao ya kijamii baada ya kutangaza waziwazi kuwa anajivunia kusimama kama mtetezi wa jumuiya ya watu wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja (LGBTQI) barani Afrika.
Jay Boogie ameonekana kufuata nyayo za Bobrisky, ambaye kwa muda mrefu amekuwa akihusiana na umaarufu mkubwa kama shoga maarufu zaidi barani Afrika. Hata hivyo, tofauti yake kubwa ni kwamba amefanyia mwili wake mabadiliko makubwa sana yanayomfanya afanane zaidi na mwanamke, jambo ambalo limezua gumzo kubwa na kuibua mijadala mitandaoni.
Ukisikia kauli ya kwamba MTOTO WA KIUME ni Endangered Species ni kweli kwa 100%, mzee baba kaona uvivu wa kushughulikia vipochi na kutoa makamasi mengi, kaona aende upande wa pili.
Kama umeshalewa pombe na umepoteza network unaweza kubeba chombo ukidhani ni pisi kali kumbe umelala na kidume mwenzio.
Jay Boogie ameonekana kufuata nyayo za Bobrisky, ambaye kwa muda mrefu amekuwa akihusiana na umaarufu mkubwa kama shoga maarufu zaidi barani Afrika. Hata hivyo, tofauti yake kubwa ni kwamba amefanyia mwili wake mabadiliko makubwa sana yanayomfanya afanane zaidi na mwanamke, jambo ambalo limezua gumzo kubwa na kuibua mijadala mitandaoni.
Ukisikia kauli ya kwamba MTOTO WA KIUME ni Endangered Species ni kweli kwa 100%, mzee baba kaona uvivu wa kushughulikia vipochi na kutoa makamasi mengi, kaona aende upande wa pili.
Kama umeshalewa pombe na umepoteza network unaweza kubeba chombo ukidhani ni pisi kali kumbe umelala na kidume mwenzio.