DANGOTE cement imekuwa adimu

DANGOTE cement imekuwa adimu

Kiwanda mpk leo hii hajawekewa umeme.....alikuwa anatumia generetor ....hii Ndy nchi ya viwandaaazzzz banaaa

OVA
Duh asee hii inawezekanaje kiwanda kikubwa kama kile hakina umeme wa Tanesco
 
Production cost iko juu jamaa wanalalamika, mpaka sasa wanatumia diesel engines, matumizi ya diesel kwenye kiwanda kama hiki ni hasara tu..
 
Kuna kiwanda kinajengwa shinyanga,saruji itashuka tu.

mi ninaishi mita 200 kutoka kiwanda cha saruji-mbeya(songwe) but cement nanunua tsh 15000!lakini cement hiyohiyo ya SONGWE inauzwa 14500 Iringa!najiuliza sipati jibu.
 
Alidanganyika na habari za gass, hakutaka kuifahamu serikali ya ccm kuwa ni watu wa maneno mengi na utendaji sifuri, pole yake bwana Dangote.
 
Back
Top Bottom