Tanga na Twiga cement ni mtego kwa nchi

OscarkambonaJr

JF-Expert Member
Jun 1, 2022
1,592
2,567
NILIWAHI KUGUSIA SEHEMU HILI SAKATA LA TWIGA KUNUNUA TANGA CEMENT. Nianze kusema kuwa hii sekta ya Cement ni non regulated sector japo ni sector muhimu sana kwa ujenzi wa Taifa. Cement ni moja kati ya mahitaji muhimu kwa kwa ujenzi wa nchi hii na kuna mahali haina mbadala(Substute).

Unaporuhusu watu wachache watawale soko nanuzalishaji wa cement ni hatari sanaa, uuzwaji wa Tanga kwa Twiga Cement Unamaanisha kwamba unapunguza wazalishaji sokoni kuwa wachache zaidi hivyo kupelekea umiliki wa soko huria, Maana yake ni kwamba TWiga atakuwa anaamua azalishe kiasi gani kwa muda gani maana viwanda ni vyake.

Tanzania tuna viwanda vikubwa vinne. Dangote cement, Twiga, Mbeya na Tanga Cement. Kuruhusu Twiga kununua Tanga Cement ni shida kubwa ina maana Tanga itakuwa chini ya Twiga na wazalishaji watakuwa watatu sio wanne tena, Hatari ya Upangaji Bei itatokea. Upangaji Bei utaiweka nchi katika wakati mgumu na kuathiri shughuli za kiujenzi kwa Serikali na wananchi moja mmoja.

VIpi Dangote akiinunua Mbeya Cement? Ikumbukwe kuwa Tanga Cement Ndio Kiwanda pekee chenye malighafi kubwa zaidi na nyingi kuliko vyote katika ukanda wa afrika mashariki. Najiuliza Unakuaje anapata hasara? Hapa kuna harufu ya usimamizi mbovu.
 
As longer as chama kinachotawala ni chama cha majambazi. As longer as chama kinachotawala ni FISIEM basi kitauzwa mapema tuu. Hapo ndipo bei ya saruji itapanda sana. Yaan tuna malighafi ya limestone tena potland ila bei ya saruji ni kubwa sana tunazidiwa hadi na other EAST AFRICAN partner states ambao wana reserve ndogo sana ya limestone. FISIEM ni chama cha majambazi tuuu
 
NILIWAHI KUGUSIA SEHEMU HILI SAKATA LA TWIGA KUNUNUA TANGA CEMENT. Nianze kusema kuwa hii sekta ya Cement ni non regulated sector japo ni sector muhimu sana kwa ujenzi wa Taifa. Cement ni moja kati ya mahitaji muhimu kwa kwa ujenzi wa nchi hii na kuna mahali haina mbadala(Substute).

Unaporuhusu watu wachache watawale soko nanuzalishaji wa cement ni hatari sanaa, uuzwaji wa Tanga kwa Twiga Cement Unamaanisha kwamba unapunguza wazalishaji sokoni kuwa wachache zaidi hivyo kupelekea umiliki wa soko huria, Maana yake ni kwamba TWiga atakuwa anaamua azalishe kiasi gani kwa muda gani maana viwanda ni vyake.

Tanzania tuna viwanda vikubwa vinne. Dangote cement, Twiga, Mbeya na Tanga Cement. Kuruhusu Twiga kununua Tanga Cement ni shida kubwa ina maana Tanga itakuwa chini ya Twiga na wazalishaji watakuwa watatu sio wanne tena, Hatari ya Upangaji Bei itatokea. Upangaji Bei utaiweka nchi katika wakati mgumu na kuathiri shughuli za kiujenzi kwa Serikali na wananchi moja mmoja.

VIpi Dangote akiinunua Mbeya Cement? Ikumbukwe kuwa Tanga Cement Ndio Kiwanda pekee chenye malighafi kubwa zaidi na nyingi kuliko vyote katika ukanda wa afrika mashariki. Najiuliza Unakuaje anapata hasara? Hapa kuna harufu ya usimamizi mbovu.
Mzee huna data, Waijua Huaxin cement? Waijua kilimanjaro cement? Kampuni ziko nyingi tu za cement, tanga cement na huaxin ndio provider wakubwa wa clinker kwenye soko, pia kuna kiwanda kipya cha wachina kinaanza production soon tanga, wacha wanunue hakuna anae tishika, kwa tanga Simba cement (tanga cement) hana ubavu kwa Huaxin cement, sasa kama hapa tanga hajaliweza soko atawezaje eti teka soko la nchi? Siwaelewi aisee
 
NILIWAHI KUGUSIA SEHEMU HILI SAKATA LA TWIGA KUNUNUA TANGA CEMENT. Nianze kusema kuwa hii sekta ya Cement ni non regulated sector japo ni sector muhimu sana kwa ujenzi wa Taifa. Cement ni moja kati ya mahitaji muhimu kwa kwa ujenzi wa nchi hii na kuna mahali haina mbadala(Substute).

Unaporuhusu watu wachache watawale soko nanuzalishaji wa cement ni hatari sanaa, uuzwaji wa Tanga kwa Twiga Cement Unamaanisha kwamba unapunguza wazalishaji sokoni kuwa wachache zaidi hivyo kupelekea umiliki wa soko huria, Maana yake ni kwamba TWiga atakuwa anaamua azalishe kiasi gani kwa muda gani maana viwanda ni vyake.

Tanzania tuna viwanda vikubwa vinne. Dangote cement, Twiga, Mbeya na Tanga Cement. Kuruhusu Twiga kununua Tanga Cement ni shida kubwa ina maana Tanga itakuwa chini ya Twiga na wazalishaji watakuwa watatu sio wanne tena, Hatari ya Upangaji Bei itatokea. Upangaji Bei utaiweka nchi katika wakati mgumu na kuathiri shughuli za kiujenzi kwa Serikali na wananchi moja mmoja.

VIpi Dangote akiinunua Mbeya Cement? Ikumbukwe kuwa Tanga Cement Ndio Kiwanda pekee chenye malighafi kubwa zaidi na nyingi kuliko vyote katika ukanda wa afrika mashariki. Najiuliza Unakuaje anapata hasara? Hapa kuna harufu ya usimamizi mbovu.
Acquisition in business ni halali, they divest and a suitor kapatikana tuache wivu wa kijima, Transnational na multinational companies complexity na implications zipo tu muda wote
 
kwangu mimi kuuzwa sio issue, bali mauziano yafanyike kwa kufuata taratibu, kodi ya serikali ilipwe, Hisa za serikali (nchi) zisichezewe, kusitokee msamaha wowote kwa kigezo cha Twiga kununua..

Kupanda kwa bei ya Cement ni matokeo ya viongozi wazembe tuliowapa mamlaka, hata sasa bado bei ya Cement ni kubwa na hatuna la kufanya ilihali material yoote inatoka ardhini kwetu.

Serikali iiboreshe TBS kwa kuwa na watalaam wa ukweli, iruhusu Cement kutoka nje, itoe milolongo ya makodi isiyo na maana kwenye uzarishaji, ihakikishe hakuna importation za raw materials bila ulazima wowote, ipunguze bei ya umeme kwa kuweka nguvu kwenye ujenzi wa stiegller na miundombinu ya umeme.
 
Mzee huna data, Waijua Huaxin cement? Waijua kilimanjaro cement? Kampuni ziko nyingi tu za cement, tanga cement na huaxin ndio provider wakubwa wa clinker kwenye soko, pia kuna kiwanda kipya cha wachina kinaanza production soon tanga, wacha wanunue hakuna anae tishika, kwa tanga Simba cement (tanga cement) hana ubavu kwa Huaxin cement, sasa kama hapa tanga hajaliweza soko atawezaje eti teka soko la nchi? Siwaelewi aisee

Kaka Reserve ya Crinca ya Tanga Cement ikishikwa na Twiga cement Twiga anakuwa hatari zaidi,Wao wengine ni Wadogo sana ndigu,Tanga cement anauwezo wa kuchimba na kutengeneza cement for 100 years wakati wengine wameishiwa.Hiyo Ndio hatari kubwa,Fanya market research Utajua Huaxin cement anatoa wapi cement,Anaingiza nchini mzee.lakini Tanga anayo ameikalia pale mzee
 
Acquisition in business ni halali, they divest and a suitor kapatikana tuache wivu wa kijima, Transnational na multinational companies complexity na implications zipo tu muda wote

Shida haiko kwenye Acquisation shida iko kwenye madhara yake mzee,Watu wachache watashika soko itakua shida kabisa,
 
Sasa kati ya Oligopoly na Duo kipi kibaya? Unaona tunakoenda sasa
Haya makampuni yamekuwepo sio kazi yao kuwaza kwa ajili ya serioali wajibu wa sera na mazingira ya ushindani na kumlinda mlaji ni wq serikali, Kama serikali ina vipofu na wasio wazalendo sio jukumu la twiga au tanga cement. Akili za mende ndio sifa ya Tanzania
 
Kaka Reserve ya Crinca ya Tanga Cement ikishikwa na Twiga cement Twiga anakuwa hatari zaidi,Wao wengine ni Wadogo sana ndigu,Tanga cement anauwezo wa kuchimba na kutengeneza cement for 100 years wakati wengine wameishiwa.Hiyo Ndio hatari kubwa,Fanya market research Utajua Huaxin cement anatoa wapi cement,Anaingiza nchini mzee.lakini Tanga anayo ameikalia pale mzee
Kama huna habari Huaxin anauza clinker kwa twiga (wazo), kuna kile cha mkuranga pia ana export kwa Prime cement rwanda, same time kwenye production ya Huaxin cement anakimbiza mbaya, na ki jiografia tanga cement na huaxin karibu wana eneo sawa la machimbo, almost wako sehemu moja,wachina hawana jambo dogo wako kikazi zaidi, huenda huaxin imekuwa chanjo cha mwekezaji wa simba cement kukaa pembeni, kwanza simba cement kuna wizi kuanzia meneja mpka vibarua ni wezi, cement hadi ya 10,000 utaipata kitaa, ila kwa huaxin yuko serious na kaz ameajili wachina kwenye kila sector, sasa cjui unaibia wap, anyway hii ni raman inayoonesha viwanda vyote vitatu
 

Attachments

  • Screenshot_20230506-131305_1.jpg
    Screenshot_20230506-131305_1.jpg
    574.8 KB · Views: 22
Kama huna habari Huaxin anauza clinker kwa twiga (wazo), kuna kile cha mkuranga pia ana export kwa Prime cement rwanda, same time kwenye production ya Huaxin cement anakimbiza mbaya, na ki jiografia tanga cement na huaxin karibu wana eneo sawa la machimbo, almost wako sehemu moja,wachina hawana jambo dogo wako kikazi zaidi, huenda huaxin imekuwa chanjo cha mwekezaji wa simba cement kukaa pembeni, kwanza simba cement kuna wizi kuanzia meneja mpka vibarua ni wezi, cement hadi ya 10,000 utaipata kitaa, ila kwa huaxin yuko serious na kaz ameajili wachina kwenye kila sector, sasa cjui unaibia wap, anyway hii ni raman inayoonesha viwanda vyote vitatu

Hatupimi ukubwa wa Viwanda kwa eneo pekee bali kwa malighafi iliyopo kwa sector ya cement ni Crincer,Kumbuka ukubwa wa eneo haimaanishi ni uwepo wa malighafi.Kwa takwimu za geologia zinaonyesha Tanga cement anamalighafi nyingi kuliko viwanda vyote afrika mashariki.Upande wa uzalishaji 1.Dangote 2.Lake 3.Tanga.4.Twiga Cement.Huyo mchina hayupo sana sokoni.Kama watoto wa masikini tunahangaika hardware tunajua nan yupo sana sikoni,Gulf cement Carmel sujui kilimanjaro wala chalinze cement ni wadogo sana aisee,
 
Hatupimi ukubwa wa Viwanda kwa eneo pekee bali kwa malighafi iliyopo kwa sector ya cement ni Crincer,Kumbuka ukubwa wa eneo haimaanishi ni uwepo wa malighafi.Kwa takwimu za geologia zinaonyesha Tanga cement anamalighafi nyingi kuliko viwanda vyote afrika mashariki.Upande wa uzalishaji 1.Dangote 2.Lake 3.Tanga.4.Twiga Cement.Huyo mchina hayupo sana sokoni.Kama watoto wa masikini tunahangaika hardware tunajua nan yupo sana sikoni,Gulf cement Carmel sujui kilimanjaro wala chalinze cement ni wadogo sana aisee,
Una data za zamani sana mzee
 
NILIWAHI KUGUSIA SEHEMU HILI SAKATA LA TWIGA KUNUNUA TANGA CEMENT. Nianze kusema kuwa hii sekta ya Cement ni non regulated sector japo ni sector muhimu sana kwa ujenzi wa Taifa. Cement ni moja kati ya mahitaji muhimu kwa kwa ujenzi wa nchi hii na kuna mahali haina mbadala(Substute).

Unaporuhusu watu wachache watawale soko nanuzalishaji wa cement ni hatari sanaa, uuzwaji wa Tanga kwa Twiga Cement Unamaanisha kwamba unapunguza wazalishaji sokoni kuwa wachache zaidi hivyo kupelekea umiliki wa soko huria, Maana yake ni kwamba TWiga atakuwa anaamua azalishe kiasi gani kwa muda gani maana viwanda ni vyake.

Tanzania tuna viwanda vikubwa vinne. Dangote cement, Twiga, Mbeya na Tanga Cement. Kuruhusu Twiga kununua Tanga Cement ni shida kubwa ina maana Tanga itakuwa chini ya Twiga na wazalishaji watakuwa watatu sio wanne tena, Hatari ya Upangaji Bei itatokea. Upangaji Bei utaiweka nchi katika wakati mgumu na kuathiri shughuli za kiujenzi kwa Serikali na wananchi moja mmoja.

VIpi Dangote akiinunua Mbeya Cement? Ikumbukwe kuwa Tanga Cement Ndio Kiwanda pekee chenye malighafi kubwa zaidi na nyingi kuliko vyote katika ukanda wa afrika mashariki. Najiuliza Unakuaje anapata hasara? Hapa kuna harufu ya usimamizi mbovu.
Nadhani umeongea vizuri lakini umeliongelea upande mmoja zaidi bila kuongelea upande wa pili mwa mwekezaji. Kumbuka Tanga cement anayeuza ni mwekezaji mwenye hisa zake sio kwamba kiwanda chote kinauzwa na hii ni ndio capitalism, huwezi kusema muwekezaji njoo lakini ukinunua hisa huwezi kuuza tena ndio ndoa ya kicatolic hapana hakuna mwekezaji atakuja nchi hii. soko huria kila mtu ana haki ya kununua na kuuza hisa kwa maslahi sasa hoja yake ni kusema mfano akitokea leo tajiri ananunua nyumba tu Kariakoo moja baada ya nyingine uje useme hapana mwisho nyumba kumi tu utakuja kutawala hapa na kupanga kodi unavyotaka mwisho kumi tu na nyinyi hakuna kuuza nyumba. Najuwa umetanguliza cement ni muhimu kwa nchi ni kweli lakini ni biashara kama bishara zingine ni muhimu pia haya mambo ya kununuana ni sehemu ya mfumo wa biashara duniani sijaelewa mantiki yako kusema Tanga cement kuuzwa baadhi ya hisa ni hatari kuwa wazalishaji watabaki wa 3 badala ya 4 kwani tuna sheria ya kusema hakuna kufanya biashara kama uko peke yako? je hao watatu wakisimamisha tu uzalishaji kwa sababu tofauti huyu anayezalisha utamfungia pia? bei ya soko inaamuliwa na uhitaji ni automatic uzalishaji ukisimama bidhaa ikipungua sokoni bei itapanda tu sababu wahitaji wengi bidhaa chache lakini hata bidhaa zikianza tena kuzalishwa na kujaa sokoni bei itashuka lakini kuna limit itafika itasimama sababu ndio small margin profit itabaki hapo sasa mwenye ubora atauza haraka na bei haitakuwa kigezo ni kama sasa bei za cement zinalingana tu hao wote wa 4 hata kwenye sukari Bagamoyo sugar kaingia sokoni kwani imeshuka? Hapa ingekuwa hizo share zinataka kuuzwa za serikali watu sawa kuongea auziwe nani au hapana lakini share za mwekezaji unamwambia usiuze je kama kama kafilisika anataka kulipa madeni? au hataki tena bishara hii utamlazimisha? mbona hii haijakaa sawa
 
As longer as chama kinachotawala ni chama cha majambazi. As longer as chama kinachotawala ni FISIEM basi kitauzwa mapema tuu. Hapo ndipo bei ya saruji itapanda sana. Yaan tuna malighafi ya limestone tena potland ila bei ya saruji ni kubwa sana tunazidiwa hadi na other EAST AFRICAN partner states ambao wana reserve ndogo sana ya limestone. FISIEM ni chama cha majambazi tuuu
Walishapewa bahasha mbwa wale, wanajichekesha TU makalio Yao pale bungeni
 
NILIWAHI KUGUSIA SEHEMU HILI SAKATA LA TWIGA KUNUNUA TANGA CEMENT. Nianze kusema kuwa hii sekta ya Cement ni non regulated sector japo ni sector muhimu sana kwa ujenzi wa Taifa. Cement ni moja kati ya mahitaji muhimu kwa kwa ujenzi wa nchi hii na kuna mahali haina mbadala(Substute).

Unaporuhusu watu wachache watawale soko nanuzalishaji wa cement ni hatari sanaa, uuzwaji wa Tanga kwa Twiga Cement Unamaanisha kwamba unapunguza wazalishaji sokoni kuwa wachache zaidi hivyo kupelekea umiliki wa soko huria, Maana yake ni kwamba TWiga atakuwa anaamua azalishe kiasi gani kwa muda gani maana viwanda ni vyake.

Tanzania tuna viwanda vikubwa vinne. Dangote cement, Twiga, Mbeya na Tanga Cement. Kuruhusu Twiga kununua Tanga Cement ni shida kubwa ina maana Tanga itakuwa chini ya Twiga na wazalishaji watakuwa watatu sio wanne tena, Hatari ya Upangaji Bei itatokea. Upangaji Bei utaiweka nchi katika wakati mgumu na kuathiri shughuli za kiujenzi kwa Serikali na wananchi moja mmoja.

VIpi Dangote akiinunua Mbeya Cement? Ikumbukwe kuwa Tanga Cement Ndio Kiwanda pekee chenye malighafi kubwa zaidi na nyingi kuliko vyote katika ukanda wa afrika mashariki. Najiuliza Unakuaje anapata hasara? Hapa kuna harufu ya usimamizi mbovu.
Nimegundua kuna upotoshaji mkubwa sana kwenye hili unafanywa either makusudi au kwa kutojua.
Kuna shida gani kama Tanga imeamua kuji submit? Ulitaka wafanye nini? Halafu hata takwimu za viwanda vya cement nchi hauna, halafu ndiyo unasimama kujaribu kupinga kitu usichokijua.
Ku dominate soko ni swala la uwezo, wala siyo swala la muungano. Wanaopinga Tanga cement kununuliwa na Twiga, kuna uwezekano walitamani wao ndiyo wainunue.
 
Back
Top Bottom