Mkuu kama ni kweli baba rizmoko na embe wana hisa basi itakuwa washampiiiiiiiiika Dangote vya kutosha si wanamjua JP,M in and out akifika ataongea mambo mataaaaaaaaaaaaaaaaaaaaam kwa JP,M na mwisho Mhong na Mwijg wataonekana watu wa hovyo kabisaaaa! na from there itakuwa issue ya Dangote inaanzia Ikulu then wengine wanaambiwa watekeleze! naona kwa mbaaali chenkapa alivyofura na atakavyofura baada ya J,PM kutoa maamuzi ya mwisho ndipo atakapojua hela haina uraic mstaaf na kama namuona vile baba riz anavyocheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeka!.....tena akija na wimbo ulio bora ambao mfalme anataka kusikia"kiwanda cha sukari"......yaani nawahakikishia atapewa gas in next 24 hours na lolote linguine atapewa tena kwa jazba kubwa...MWijage na Muhongo wajipange.............subirini tu aje....anakuja na tune ya sukari mmekwisha na makaa yenu ya mawe.............
Muhng na Mwjg wajiandae kisaiklojia kunywa matapishi yao na wala wasikasirike maana kazi walizikubali wenyewe!