Mussa kiraka Senior Member Joined Mar 4, 2012 Posts 106 Reaction score 13 Mar 22, 2012 #21 huyu meneja wa B.O.T anaumwa nini juzi tu nimewakopesha leo hii ananibip anataka tena mkopo. ctak niwape obama ameomba pesa leo asubuh
huyu meneja wa B.O.T anaumwa nini juzi tu nimewakopesha leo hii ananibip anataka tena mkopo. ctak niwape obama ameomba pesa leo asubuh
mkudeson Senior Member Joined Nov 24, 2011 Posts 104 Reaction score 16 Mar 22, 2012 #22 mitihani ya taifa (necta) haitafanyika tena hivyo wanaskonga wote hakuna haja ya kuwa 'wasongo'
ZeMangi JF-Expert Member Joined Oct 21, 2011 Posts 436 Reaction score 33 Mar 22, 2012 #23 ceekay said: Hapo kwny RED hapo: Hivi unajua aliyechimba shimo la kuweka Bahari ya Hindi ni baba yangu then akamuuzia mdingi wako? Click to expand... ngoja nitamuuliza mshuwa
ceekay said: Hapo kwny RED hapo: Hivi unajua aliyechimba shimo la kuweka Bahari ya Hindi ni baba yangu then akamuuzia mdingi wako? Click to expand... ngoja nitamuuliza mshuwa