hiyo dancing floor kwanza ni kiswengleza, yaani ni mchanganyiko wa herufi za kiingereza na dhana ya kiswahili(baraza ya kusakatia rhumba).Neno sahihi la kiingeraza ni DANCE FLOOR.
Swali lako halieleweki au mimi ndio silielewi, unamaana gani unaposema wakati gani yanapotumika haya maneno(kwa maana ya muktadha au context!!!) au wakati gani hivyo vitu vinatumika?(kwa maana ya shughuli yenyewe au function!!!) Kama hiki si kitendawili ngoja nijitose kwa kukujibu kuwa:
1./Dance floor...ni sehemu ya ukumbi, au jukwaa ambayo imetengenezwa maalum kwa kusakata magoma.
2. Stage au jukwaa ni sehemu iliyoandaliwa kwa ajili shughuli fulani tena hutengwa ilikuwa wezesha watu waliofika kwenye shughuli hiyo kuiona sehemu hiyo kwa urahisi na pia watu watakao itumia sehemu hiyo waweze kuonekana kwa urahisi. Zipo aina nyingi za stage kutokana na kazi zake lakini jambo la muhimu ni kwamba stage husaidia kumfanya anyeitumia aweze kuwasiliana kwa urahisi na watuwengine waliopo kwenye tukio hilo.
Back stage..Hii ni sehemu iliyopo nyuma ya jukwaa au sehemu ya maonesho ambayo huzibwa kuweza kuinga hadhira kuona yanayofanyika huko.Mara nyingi sehemu hii hutengwa kwa ajili ya sehemu za kubadilishia nguo wasanii,au kujiremba kabla hawajafika jukwaani, pia ilikuepuka usumbufu wa kumpata mtumbuizaji backstage hutumika kama sehemu ya watumbuizaji kujikusanya tayari kwa kufanya maonesho.
SAWA CHAPAA>>>?
Ukisoma kwa makini sana hapo juu vitu vyote hivi vinatumika wakati mmoja tu, kwenye maonesho au mawasiliano yanayohusisha mtumbuizaji(performer) na hadhira(audience)
hiyo dancing floor kwanza ni kiswengleza, yaani ni mchanganyiko wa herufi za kiingereza na dhana ya kiswahili(baraza ya kusakatia rhumba).Neno sahihi la kiingeraza ni DANCE FLOOR.
Swali lako halieleweki au mimi ndio silielewi, unamaana gani unaposema wakati gani yanapotumika haya maneno(kwa maana ya muktadha au context!!!) au wakati gani hivyo vitu vinatumika?(kwa maana ya shughuli yenyewe au function!!!) Kama hiki si kitendawili ngoja nijitose kwa kukujibu kuwa:
1./Dance floor...ni sehemu ya ukumbi, au jukwaa ambayo imetengenezwa maalum kwa kusakata magoma.
2. Stage au jukwaa ni sehemu iliyoandaliwa kwa ajili shughuli fulani tena hutengwa ilikuwa wezesha watu waliofika kwenye shughuli hiyo kuiona sehemu hiyo kwa urahisi na pia watu watakao itumia sehemu hiyo waweze kuonekana kwa urahisi. Zipo aina nyingi za stage kutokana na kazi zake lakini jambo la muhimu ni kwamba stage husaidia kumfanya anyeitumia aweze kuwasiliana kwa urahisi na watuwengine waliopo kwenye tukio hilo.
Back stage..Hii ni sehemu iliyopo nyuma ya jukwaa au sehemu ya maonesho ambayo huzibwa kuweza kuinga hadhira kuona yanayofanyika huko.Mara nyingi sehemu hii hutengwa kwa ajili ya sehemu za kubadilishia nguo wasanii,au kujiremba kabla hawajafika jukwaani, pia ilikuepuka usumbufu wa kumpata mtumbuizaji backstage hutumika kama sehemu ya watumbuizaji kujikusanya tayari kwa kufanya maonesho.
SAWA CHAPAA>>>?
Ukisoma kwa makini sana hapo juu vitu vyote hivi vinatumika wakati mmoja tu, kwenye maonesho au mawasiliano yanayohusisha mtumbuizaji(performer) na hadhira(audience)