Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Ninapokuwa nachangia damu huwa nawaza kuwa huenda kuna mkulima mwenzangu ataumwa na atahitaji kuongezewa damu, lakini nimekuja kugundua kuwa hizo damu wanauziwa wagonjwa huko mahospitalini, tena ni wale wenye pesa zao.
Unalizungumziaje hili?
Unalizungumziaje hili?