Ametoa uzi tu tayari binadamu wamesham judge. Mbona musiwa judge wanaoliwa t.ako na marafiki zao ama wanaodinda wakiwaona wabeba matoroli? Wonders never cease.
Mie huwa naanzaga kushtukia kukaa kwao, wanapenda kujibinyua. hata wakati wakukaa au kunyanyuka, kusimama na kutembea. ila kukaa ndo huwa inawaonyesha sanaaaaa labda wawe smart wanajificha na kujiangalia wasitoe signs.