Dalai Lama avuna aibu ya karne

Dalai Lama avuna aibu ya karne

Baada ya hii kisanga nilikutana na mjadala kwenye moja ya mtandao na ikabidi sasa niingie kusoma nikakuta ni utamaduni wao
mbona anaomba radhi sasa kama ni utamaduni wao?
hebu tufanye anakupiga mate wewe,yeye kwake ni utamaduni wewe je?
 
mbona anaomba radhi sasa kama ni utamaduni wao?
hebu tufanye anakupiga mate wewe,yeye kwake ni utamaduni wewe je?
Soma hicho kipande au google,
Screenshot_20230410_140946_org.mozilla.firefox.jpg
 
Kiongozi wa kiroho kutoka Asia ya mbali amejikuta katika aibu ya kumnyanyasa mvulana

Kiongozi huyo ambaye kwa miongo mitano amekuwa mwenye ushawishi duniani mkanda wake wa video umevuja akilazimisha mvulana amlambe ulimi

Dalai Lama ana miaka 85

View attachment 2583202

Credit: CNN
Mkuu; Mbona sijaona cha ajabu hapo?. Hivi Inakuwaje mara nyingi kila kitu/tukio baadhi ya watu wanakimbilia kulihusisha na unyanyasaji, udhalilisha au Habari za wazungu?
 
Budhaism wanakwambia alitaka kumpa baraka
 
Sasa mbona kaomba msamaha ama we unawajua watibet kuliko Dalai Lama????
Kaomba msamaha kwa kutokana na jinsi tukio lilivochukuliwa i.e.Tafsiri ya watazamaji na sio kwa kitendo hicho alichofanya na inaweza kuwa alishafanya hivyo hivyo mara nyingi na kwa wengi. Sasa leo imefika kwa wasio na Utamaduni huo (wabongo n.k.) imekuwa nongwa. Kwa mantiki hiyo ameomba Radhi kwa Nongwa (maudhi) na wala sio kwa kitendo chake.
 
Dah! Lizee bila aibu....
Aibu ya kitu gani? Kama ni jambo baya mbona huyo mvulana hakuonesha kukereka au kutokumkubalia? Mbona watazamaji (audience) waliokuwepo hawakuonesha upokeaji Hasi wa tukio hilo??
 
Aibu ya kitu gani? Kama ni jambo baya mbona huyo mvulana hakuonesha kukereka au kutokumkubalia? Mbona watazamaji (audience) waliokuwepo hawakuonesha upokeaji Hasi wa tukio hilo??

Mtoto hajui maana bado akili changa, akikua ndio atakuja kujutia, kwa hao walio pembeni hawange-react ghafla, kuna vitu inabidi ufanye digestion kwanza kuelewa nini kimetendeka, very disgusting, bladifaking lizee hilo.....
Mbona ameomba msamaha kwa familia ya huyo mtoto na jamii yote.
Mnaojificha nyuma ya mgongo wa mila za Tibetian, ni kweli wao wana desturi ya kuonyesha ulimi lakini sio kunyonyana, pili hapo sio Tibet, huyo mtoto sio Tibetian, mpuzi huyo mzee litakua limebaka sana watoto https://edition.cnn.com/2023/04/10/india/dalai-lama-apology-kissing-boy-video-intl-hnk/index.html
 
Hilo zee kumbe ni punga ndio maana nchi za Magharibi zinamuunga mkono. Anataka akalambe denda kavulana ka watu 🤮

Mdogomdogo mtaielewa China kwa nini iko very strict sana na jimbo la Tibet linaloongozwa kidini na huyo choko
 
Back
Top Bottom