Dalai Lama avuna aibu ya karne

Dalai Lama avuna aibu ya karne

uwe hodari

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
4,041
Reaction score
8,633
Kiongozi wa kiroho kutoka Asia ya mbali amejikuta katika aibu ya kumnyanyasa mvulana

Kiongozi huyo ambaye kwa miongo mitano amekuwa mwenye ushawishi duniani mkanda wake wa video umevuja akilazimisha mvulana amlambe ulimi

Dalai Lama ana miaka 85



Credit: CNN
 
Jazia nyama
1681124630571.jpg
 
Kiongozi wa kiroho kutoka Asia ya mbali amejikuta katika aibu ya kumnyanyasa mvulana

Kiongozi huyo ambaye kwa miongo mitano amekuwa mwenye ushawishi duniani mkanda wake wa video umevuja akilazimisha mvulana amlambe ulimi

Dalai Lama ana miaka 85

Credit: CNN
Aibu gani? Kwa wa Tibeti huo ni utamaduni wao wa kubusiana ndimi, soma kwanza kulilo kujikita kwenye propaganda za Wazungu
 
Mkuu wa Tibeti hio ni moja ya Salamu zao, za enzi na enzi, jaribu kusoma utamaduni wa wa Tibet, utaelewa kwamba kwa utamaduni wao sio kosa, Shida sisi waafrica ni wavivu wa kusoma
Waafrica bhana tuna matatizo hayo mambo wenzetu kupeana mabusu yapo sana haswa kweny mikono kama upendo kawaida .
 
Aibu gani? Kwa wa Tibeti huo ni utamaduni wao wa kubusiana ndimi, soma kwanza kulilo kujikita kwenye propaganda za Wazungu
Alimuomba amnyonye ulimi, si kweli kiwa huo ni utamaduni wa kitibet kunyonyana ndimi. Kukusaidia tuu kuelewa, Dalai lama mwenyewe katika tamko lake la kutaka radhi anasema alikuwa akimtania mtoto huyo.
 
Alimuomba amnyonye ulimi, si kweli kiwa huo ni utamaduni wa kitibet kunyonyana ndimi. Kukusaidia tuu kuelewa, Dalai lama mwenyewe katika tamko lake la kutaka radhi anasema alikuwa akimtania mtoto huyo.
Umesikiliza BBC? au unabisha so elezea utamaduni wao wa kunyonyana ulimi unavyo kuwa aplied basi, elezea
 
Back
Top Bottom