Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
So sihusiki hapa nadhani...
jamni kama mimi boy wangu tulikutana school au ndo weweMe sina mke bt nina gf ambaye 2likutana naye skul Mungu akijalia soon ntaanza kumuita wife
jamni kama mimi boy wangu tulikutana school au ndo wewe
What a wonderful meeting!!!! Umenichekesha sana leo mzee wa mikatabafekinilikutana nae guest house ye anaingia na mtu me natoka na mtu faasta kazuga anaenda toilet nikachukua namba ya simu hadi leo nipo nae
tusiokuwa na wake tuna waume ruksa kuchangia?
Mi nilikutana naye discussion wakati wa shule ndefu ya Muhas, mwisho wa discussion tulikuwa tunazungumzia maisha na mwisho maisha na mwisho tunamtoto mmoja sasa.
Hamna mmoja wenu alishapanda daladala la toka posta kwenda gongo la mboto ilhali safari yake ni ya tegeta?