Dala dala laivu

Speaker

JF-Expert Member
Aug 12, 2010
6,324
2,238
Hizi ndizo raha na karaha za daladala zetu.
376255_10150595816657571_700677570_11609750_1006938954_n.jpg

378011_10150595816147571_700677570_11609747_1556913738_n.jpg

390072_10150595814927571_700677570_11609734_2084545041_n.jpg

389505_10150595815347571_700677570_11609737_681229866_n.jpg
 
hahahhaah, hiyo kwenye picha ya kwanza unakuta mdada kavaa nguo fupi afu anaanza kukivuta si ukiache tu kama kilivyo.
 
Pale anapo ingia ndani ya gari mtu anae chukua siti ya watu wa3.....

DSC04323.JPG


Na unapo anza kudanganya huku ukijiona mjaaaanja,...............

dala+16+.jpg
 
jamaa amekuwa mkali baada ya kuambiwa atalipiwa, sijui ni kwa vipi watu wengine hukosa kujiamini.
 
Unapokuwa unadaiwa na anae kudai anakuja kwenye gari uliyomo.

dala+15+.jpg
 
Inasemekana madereva ndio waizi wa wake za watu sana.

dala+4+.jpg
 
Back
Top Bottom