Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Feb 24, 2012 #1 Hizi ndizo raha na karaha za daladala zetu.
sister JF-Expert Member Nov 23, 2011 9,014 6,846 Feb 24, 2012 #2 hahahhaah, hiyo kwenye picha ya kwanza unakuta mdada kavaa nguo fupi afu anaanza kukivuta si ukiache tu kama kilivyo.
hahahhaah, hiyo kwenye picha ya kwanza unakuta mdada kavaa nguo fupi afu anaanza kukivuta si ukiache tu kama kilivyo.
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Feb 24, 2012 Thread starter #3 sister said: hahahhaah, hiyo kwenye picha ya kwanza unakuta mdada kavaa nguo fupi afu anaanza kukivuta si ukiache tu kama kilivyo. Click to expand... Siku hizi dala dala ni kero ukipata siti,...ila ukisimama lol full shangwe. Mlio na magari binafsi unakosa uhondo kweli
sister said: hahahhaah, hiyo kwenye picha ya kwanza unakuta mdada kavaa nguo fupi afu anaanza kukivuta si ukiache tu kama kilivyo. Click to expand... Siku hizi dala dala ni kero ukipata siti,...ila ukisimama lol full shangwe. Mlio na magari binafsi unakosa uhondo kweli
sister JF-Expert Member Nov 23, 2011 9,014 6,846 Feb 24, 2012 #4 kha kwa waopenda hayo mambo ndo raha .
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Feb 24, 2012 Thread starter #5 sister said: kha kwa waopenda hayo mambo ndo raha . Click to expand... haha,shauri zako. Kuna watu yaani wako tayari kusimama mda wote bora tu wawe in "contact"...................
sister said: kha kwa waopenda hayo mambo ndo raha . Click to expand... haha,shauri zako. Kuna watu yaani wako tayari kusimama mda wote bora tu wawe in "contact"...................
TANMO JF-Expert Member Apr 12, 2008 11,507 11,252 Feb 24, 2012 #7 Loooooolz, Haraka haraka haina Baraka Anti:hat:
Dreamliner JF-Expert Member Jan 17, 2010 2,034 213 Feb 24, 2012 #8 Hivi huyu mchoraji mbn aliacha? Majira ya Jumapili huwa nasoma hapo tu.
Michael Amon JF-Expert Member Dec 22, 2008 8,775 3,610 Feb 24, 2012 #10 Macho yananyonywa tena. Makubwa!
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Feb 24, 2012 Thread starter #11 Pale anapo ingia ndani ya gari mtu anae chukua siti ya watu wa3..... Na unapo anza kudanganya huku ukijiona mjaaaanja,...............
Pale anapo ingia ndani ya gari mtu anae chukua siti ya watu wa3..... Na unapo anza kudanganya huku ukijiona mjaaaanja,...............
Donnie Charlie JF-Expert Member Sep 16, 2009 15,104 16,153 Feb 24, 2012 #12 jamaa amekuwa mkali baada ya kuambiwa atalipiwa, sijui ni kwa vipi watu wengine hukosa kujiamini.
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Feb 24, 2012 Thread starter #13 Unapokuwa unadaiwa na anae kudai anakuja kwenye gari uliyomo.
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Feb 24, 2012 Thread starter #14 Vipi ukidhulumiwa hela yako?una fanyaje ati?
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Feb 24, 2012 Thread starter #15 Inasemekana madereva ndio waizi wa wake za watu sana.
C Chipolopolo JF-Expert Member Feb 14, 2012 1,425 725 Feb 25, 2012 #16 Nathan.Miongoni kweli ni miongoni mwa wachora katuni wa ukweli!
Mamzalendo JF-Expert Member Dec 29, 2010 1,670 558 Feb 25, 2012 #17 kwa kweli nimecheka loh mbavu zangu jamani, thanks for adding my days in this world
Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Feb 25, 2012 Thread starter #18 Mamzalendo said: kwa kweli nimecheka loh mbavu zangu jamani, thanks for adding my days in this world Click to expand... Karibuuuuu
Mamzalendo said: kwa kweli nimecheka loh mbavu zangu jamani, thanks for adding my days in this world Click to expand... Karibuuuuu
Dunda kwetu JF-Expert Member Oct 3, 2011 265 37 Feb 26, 2012 #19 Speaker said: Siku hizi dala dala ni kero ukipata siti,...ila ukisimama lol full shangwe. Mlio na magari binafsi unakosa uhondo kweli Click to expand...
Speaker said: Siku hizi dala dala ni kero ukipata siti,...ila ukisimama lol full shangwe. Mlio na magari binafsi unakosa uhondo kweli Click to expand...