bikira latifah
JF-Expert Member
- Oct 27, 2016
- 836
- 2,805
Leo kariakoo msimbazi nyingi zilikuwa zinaonekana bajaji boda na dala dala za biashara tu magari ni machache sana bei ya mafuta sio poa watu wameyaacha magari nyumbani
Kunapoelekea gari zenye injini ndogo kama ractics vitz ist zitawindwa mjini balaa
Kunapoelekea gari zenye injini ndogo kama ractics vitz ist zitawindwa mjini balaa