Nyalotsi
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 6,978
- 5,025
kuna mwanachuo wa udaktari mwaka wa nne muhas ajulikanaye kwa jina la Erick hyera amefariki dunia usiku wa kuamkia jumatatu kwa ajali ya gari. Ajali hiyo ilitokea mandela road maeneo ya mabibo hostel gari waliyokuwa nayo ilipogongana na gari jingine lililokuwa linakata kona. Aliyefariki ni mmoja wenzake wawili wakipatwa na majeraha na wanaendelea vizuri. Mwili wa marehemu unaagwa kesho muhimbili kwenda kwao songea kwa mazishi. R.I.P daktari wetu. Mungu awape faraja ndugu na jamaa wa muhas.