Kwa hito Dr alikuwa teja? What a shame.........RIP anyway
Kwa hito Dr alikuwa teja? What a shame.........RIP anyway
Uteja ni addiction kama addiction nyingine nyingi tu...addiction za ngono (watu wengi mateja wa hili), pombe (wengi pia mateja wa hili), Sigara, Bangi (wengi tu mateja wa haya)...addiction ni ugonjwa, na hauangalii wewe ni daktari, pastor, mwanasheria, etc! At least show some respect for he was a great 'Surgeon'...ameokoa maisha ya maskini wengi tu tangu akiwa Bugando mpaka Nyamagana. RIP Dr Ray Simon.