Daktari jijini Mwanza afia gesti jijini Dar

Daktari jijini Mwanza afia gesti jijini Dar

Maskini Dr. Ohh alikuwa ni mtumiaji wa madawa. Anyway tumekuwa na watu wengi tena wana akili sana ila ni wavuta bangi wazuri tu na wachapa kazi. Hapo sijasemea madaktari bingwa ambao bila kulewa hawawezi kufanya operation kabisa.
 
Tuwape pole familia ya marehemu kwani amewaachia pengo na majonzi.mungu alitoa mungu ametwaa.Ameeen
 
He was my School mate at Mwakaleli High School,and I remember one day 2012 we saw each other at VILLA PARK Mwanza.We enjoyed a lot as you know if you meet your school mate whim you lost morethan 10yrs,at that time he was working Bugando Medical Center.He was very cool and very charming person.We lost very important person on our community and the country as well.POLE KWA FAMILIA YA MAREHEMU, POLE KWA NDUGU WA MAREHEMU, POLE KWA MARAFIKI WA MAREHEMU NA WOTE WALIOGUSWA NA MSIBA HUU.
R.I.P BROTHER
 
He was my School mate at Mwakaleli High School,and I remember one day 2012 we saw each other at VILLA PARK Mwanza.We enjoyed a lot as you know if you meet your school mate whim you lost morethan 10yrs,at that time he was working Bugando Medical Center.He was very cool and very charming person.We lost very important person on our community and the country as well.POLE KWA FAMILIA YA MAREHEMU, POLE KWA NDUGU WA MAREHEMU, POLE KWA MARAFIKI WA MAREHEMU NA WOTE WALIOGUSWA NA MSIBA HUU.
R.I.P BROTHER

lugha ya malkia ni jangaaaaa
 
Mtu achomwe iyo sindano afu aondoke kwa kupitia mlango gani sasa wkt umeshasikia kuwa doc alijifungia kwa ndani

Hayo hawajasema what if ilikuwa hivyo mtu akamfungia kwa nje.... kwani umeambiwa walikuta funguo ndani? Dunia imeharibika mkuu ohooo!
ukute alikuwa mali kutoka mwadui au pale Barrick maana madaktari nao wana network sana!
 
Watanzania tuwe makini na habar. Nina maana twende na wakati na habari ambazo zinatokea hapa nyumbani Tanzania.Leo ni tarehe 13 may lakin habar hii ilitokea zamani kidogo kama wiki mbili hv. Nimeshituka sana nikafikiri kwamba daktar mwingine wa mwanza amefia gest. Kumbe ni Yule Yule. Habar hii iliandikwa sn na magazeti ya kila siku
.But hawa GPL wanaandika hii habar upya km vile ndo imetokea. Watu wa finance wanaita hbr hii ni weak form efficiency. Kwan ni hbr ya zamani. But hawa GPL wanawafanya wabongo kuwa watu wasio current.
 
Mtu achomwe iyo sindano afu aondoke kwa kupitia mlango gani sasa wkt umeshasikia kuwa doc alijifungia kwa ndani
Hata km umefungwa inawezekana pia amejifanyia suicide...lkn sio kuconclude kirahisi kwamba amejidunga madawa ya kulevya...
 
Haitatokea kumpata Dr bingwa kijana kama Dr Ray yeye alikuwa general surgeon.alikuwa hachoki katika kazi yake, ukipata tatizo la upasuaji iwe usiku, mchana, siku za sikukuu alikuwa hajali analichokuwa anahitaji ni pesa yako tu basi, jamaa anachoma mafuta mgonjwa anafanyiwa na maisha yanaendelea. R.I.P BOB RAY.
 
Kifo ni kifo kila m2 atakufa kwa sitail yke.mwenyezi mungu amwangazie mwanga wa milele
 
Back
Top Bottom