Daktari huyu noma!!

Daktari huyu noma!!

Bukayo jr

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2011
Posts
2,782
Reaction score
1,647
Dada mmoja alipata matatizo wakati alipokuwa anakojoa na akawa anaona mambo mageni ikabidi aende kwa daktari na mazungumzo yalikuwa hivi:

DADA😀aktari mi nikikojoa mkojo ukimalizikia uwa na rangi ya brown iliyokoza

DOKTA:Mmm! Una mda gani umefanya mapenzi? Ama huwa unafanya mara ngapi kwa siku?

DADA:Mara ngapi kwa siku??? Kwa kweli daktari mi hufanya mara mbili tu kwa mwaka!

DOKTA: Okey! Hapo hamna ugonjwa ila hiyo ni KUTU
 
hahahahahahahahahahahahahahahah sasa hiyo kutu c lazima itolewe na daktareeeeeeeeee
 
Dah afu msasa wakutolea kutu anao daktar tu,,,,,, inabidi apigwe msasa tu
 
msasa wake utakua balaa uo
 
Back
Top Bottom