We upo wapi sasa?Algeria, Zanzibar nipe kazi kaka
We upo wapi sasa?Algeria, Zanzibar nipe kazi kaka
Nipo Dsm mkuuWe upo wapi sasa?
We unahitaji kupiga kazi wapi....... Umeshajaribu kwenye hospitali binafsi, ama dispensary, fafanua mkuu........ N vipi kuhusu kazi out of your field, ur are a doctor know kumbuka jichanganye sio lazima uchome sindano ili maisha yaendeNipo Dsm mkuu
Hamna kazi, mashirika yanabana ajira, kila mmoja hataki kuajiri, mi shida ni kazi yoyote napiga hata kufundisha Sekondari I mradi familia ipate kula MKUUU, tutadharirika mjini hapaWe unahitaji kupiga kazi wapi....... Umeshajaribu kwenye hospitali binafsi, ama dispensary, fafanua mkuu........ N vipi kuhusu kazi out of your field, ur are a doctor know kumbuka jichanganye sio lazima uchome sindano ili maisha yaende
Ulishawahi kujaribu kuomba kazi wapi na wapi....... Mi naona uende mguu kwa mguu to private hospital moja baada ya nyingine, kazi zipo sema hazitangazwiHamna kazi, mashirika yamabana ajira, kila mmoja hataki kuajiri, mi shida mi kazi yoyote napiga hata kufundisha Sekondari I mradi familia ile
Si rahisi kaka! Anyway najaribu.....na wewe ukipata mchongo nistueUlishawahi kujaribu kuomba kazi wapi na wapi....... Mi naona uende mguu kwa mguu to private hospital moja baada ya nyingine, kazi zipo sema hazitangazwi
Vipi inaweza kuwa rahisi unadhani?Si rahisi kaka! Anyway najaribu.....na wewe ukipata mchongo nistue
mkuu umeapply kenya?, bila shaka kilio chako kimesikikaWakuu soko la ajira limekuwa gumu, anaehitaji Daktari(MD) Dar au sehemu yoyote Tanzania iwe permanent au part Time nipo....
Ni PM..
Natanguliza shukrani.
Ha ha ha jf rahaHiyo avatar yako tu haioneshi umakini, busara, na utambuzi unaohitajika kwa mtu mwenye fani yenye kuhudumia jamii.
Unaweza kuona ni jambo dogo, lakini mitandao kwa leo hii ni sehemu ya kwanza ya kupata picha ya muhusika. Nakushauri ubadilishe.
Ali fa fa faMungu ni wa wote!.....nakumbuka jamaa mmoja alivyokua anaringa...kisa ana soma PCB....ila alizungusha
vipi haujaomba kwenda Kenya!?Mhhhh hatari tupu tunaishi kama watumwa