OPERATION ENTEBBE
Senior Member
- Feb 13, 2017
- 120
- 73
Wakuu soko la ajira limekuwa gumu, anaehitaji Daktari(MD) Dar au sehemu yoyote Tanzania iwe permanent au part Time nipo....
Ni PM..
Natanguliza shukrani.
Ni PM..
Natanguliza shukrani.
Ukitaka jibu la hili swali siku nenda hospitali uonemsululu wa idadi ya wagonjwa wanaomsubiri daktari yaani sisi hatuna hiyo kitu, yaani sisi tunaangalia siku wagonjwa wakiwa wengi shughuli utaiona na lazima uwamalize, siku wakiwa wachache ndio unaupata na mshahara ulele.Hivi patient to physician ratio kwa Tz imefikia ngapi?
Hali ngumu mkuuNyinyi ndo mlikua mnalinga eti mnasoma Science?
Mkuu Jichange Aisee anzia Botswana hapo Nauli Bei chee tena ya ndege.Hali ngumu mkuu
Kule hailipi siku hizi, walishafungua vyuo kibao na graduate lukuki!Mkuu Jichange Aisee anzia Botswana hapo Nauli Bei chee tena ya ndege.
Acha DharauDr wa madawa ya kulevya may be
Asante mkuupole serikali haijaajiri madaktari kwa muda sasa, husijali its matter of time ajira za madaktari sio umiza kichwa,pia fuatilia nafasi za jkt zikitoka omba hata ikiwezekana omba kutokea mikoani hapa dslama utakimbizwa kwenye viwanja vya chuo na utaambulia patupu
ChangedHiyo avatar yako tu haioneshi umakini, busara, na utambuzi unaohitajika kwa mtu mwenye fani yenye kuhudumia jamii.
Unaweza kuona ni jambo dogo, lakini mitandao kwa leo hii ni sehemu ya kwanza ya kupata picha ya muhusika. Nakushauri ubadilishe.
Mungu ni wa wote!.....nakumbuka jamaa mmoja alivyokua anaringa...kisa ana soma PCB....ila alizungushaNyinyi ndo mlikua mnalinga eti mnasoma Science?
Ulisoma chuo gani na kumaliza intern wapi?, tuanzie hapo kwanzaAiseeee tusaidiane
Algeria, Zanzibar nipe kazi kakaUlisoma chuo gani na kumaliza intern wapi?, tuanzie hapo kwanza