Daktari ambaka mgonjwa

Hawa jamaa wanawaharibia sana professional zenu mzee......! ningekuwa mi ni mume wa huyo mama, ngejifanya PSYCHIATRIC then, na yeye na mpa nusu kaputi.......then natafuta njemba zimpumlie kisogoni........!

Hahahaha ungeharibu zaidi mkuu professional!
 
wapo ambao ni waadilifu na wanafata maadili ya kazi zao ..lakini huyu nae kavuka mipaka
sijui hata kama alikumbuka kutumia kinga ..naogopa!!

well said my dear!!! hao ndo kenge kwenye msafara wa mamba!!!!
 
hahaaa binamu hicho kisasi balaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!

.....he!heeeeeeh.....imagine, mwenzio anaugulia maumivu ya tumbo.....jamaa hata huruma hamna, anamtwanga 1/2 kaputi....., mama hupo hajitambui.....anamjigyjigy.....! watu wa aina hii hata maiti wanazitamanigi....pengine huwa wanazilamba....ha!ha!ha!haaaaaaa....!
 
Huyo jamaa ni daktari as ni MD au clinical officer flani?Manake bongo kila anayefanya kazi hospitali ni daktari.
Kama ni MD ni shame na hakulielewa somo la ethics&professionalism.Hata mgonjwa aki flirt vipi huwezi kuchapa ofisini,tena mueleweshe kabisa kuwa uhusiano wenu ni wa kikazi na si vingine.Ikibidi hata m direct kwa daktari mwingine amu attend.Fanya physical exams,shika shika kote lakini unajitahidi kufisha hisia zako hata kama mgonjwa yuko bomba na umemtamani kingono.Ukishindwa kabisa basi chukua contacts zake halafu mtafute baada ya kazi.
 
wapo ambao ni waadilifu na wanafata maadili ya kazi zao ..lakini huyu nae kavuka mipaka
sijui hata kama alikumbuka kutumia kinga ..naogopa!!

Lakini unaoanaje FL1 tukisema kuwa wenye tabia hizo ndo wengi halafu ni vijana kwa wazee? Hii bi kusema kuwa risk (probability) ya wewe kukutana na hii hazard (madaktari wanaokula wagonjwa) ni kubwa sana? Yaani namaanisha hata kama haujakutana na athari za gaidi basi walau ulishafiri naye kama sio ndegeni hata katika train basi. Hapo je?
 
Huyo jamaa ni daktari as ni MD au clinical officer flani?Manake bongo kila anayefanya kazi hospitali ni daktari.
Kama ni MD ni shame na hakulielewa somo la ethics&professionalism.Hata mgonjwa aki flirt vipi huwezi kuchapa ofisini,tena mueleweshe kabisa kuwa uhusiano wenu ni wa kikazi na si vingine.Ikibidi hata m direct kwa daktari mwingine amu attend.Fanya physical exams,shika shika kote lakini unajitahidi kufisha hisia zako hata kama mgonjwa yuko bomba na umemtamani kingono.Ukishindwa kabisa basi chukua contacts zake halafu mtafute baada ya kazi.

Ha haa haa p53 unamaanisha nje ya ofisi vipi? Unanikumbusha mabli sana hao ndo wako wengi sasa, wa appointment baadaye au akishapona!?
 
Tujitahidi kusomesha mabinti masomo ya sayansi. Itasaidia sana kupunguza matatizo kama haya. Kwa sasa madaktari wengi bingwa wa magonjwa ya kina mama ni wanaume! Ningependa siku moja hili liwe kinyume

Hayo ni matatizo ya kisaikolojia tu wala solution sio kuwa na madaktari wengi wa kike. Umesahau yule jamaa aliyeibaka maiti ya Shenazi kule mochwari? Hapo vipi wahudumu wa mochwari tuongeze wanawake pia? Ila watu noma sana......haaingii akilini! Huwezi jua huyo alikuwa ni mgonjwa wa ngapi kumfanyia hivyo, usikute wengine huwa wanamezea tu....!
 
Halafu 'daktari' sijui ni kunogewa au kuzidiwa yaani alikuwa anaonyesha ufundi mpaka patient anaamka na kukuta nanilio yake inananiliwa!? Au alikosea mls za dawa ya usingizi akaweka kidogo alidhani procedure yake ingeisha fasta!
 
DAKTARI wa Hospitali ya Marie Stoppers iliyopo Mwenge, jijini Dar es Salaam, Paul Andrew ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mgonjwa aliyefika hospitalini hapo kupatiwa matibabu.


Correction, haiitwi Marie stoppers inaitwa Marie Stopes....

Kuna mwingine wa MOI alipona kiajabu licha ya confirmation kwamba alibaka mgonjwa
 
Huyo jamaa ni daktari as ni MD au clinical officer flani?Manake bongo kila anayefanya kazi hospitali ni daktari.
Kama ni MD ni shame na hakulielewa somo la ethics&professionalism.Hata mgonjwa aki flirt vipi huwezi kuchapa ofisini,tena mueleweshe kabisa kuwa uhusiano wenu ni wa kikazi na si vingine.Ikibidi hata m direct kwa daktari mwingine amu attend.Fanya physical exams,shika shika kote lakini unajitahidi kufisha hisia zako hata kama mgonjwa yuko bomba na umemtamani kingono.Ukishindwa kabisa basi chukua contacts zake halafu mtafute baada ya kazi.
wapo wengi...
 
Maswali mengine ambayo sina majibu yake ni kuwa:
1. Kwanini alichelewa hadi mgonjwa akaamka na kumkuta akiendelea? Au kwasababu mlengwa alikuwa hatingishiki?
2. Au ulikuwa ni mzunguko mwingine?

Yote kwa yote huyo Daktari akapimwe akili... Wito kwa madada mnaokwenda kwa Gynos, hakikisha Nurse anakuwa karibu kabla hamjadungwa sindano ya usingizi!!
 
p53 nakubaliana kabisa na wewe. Uwezekano mkubwa ni kwamba jamaa alikuwa Clinical Officer, au sana sana AMO. Sio kwamba nawadharau, lakini ukweli ni kwamba hawa watu hawafundishwi Medical Ethics, pili hawana kiapo. Ndio yale yale!! SIO MADAKTARI, NI TABIBU!!

Medical Council of Tanganyika sijui wanalala usingizi wa aina gani, wako kwenye REM sleep miaka nenda rudi
 
Huyu daktari aliamua kuweka weledi na kiapo chake pembeni kabisa na nafsi yake ikaanza kuongozwa na kichwa cha chini badala ya kichwa cha juu.,pole sana dada uliyepatwa na zahma hii, naamini mpumbavu huyu atapata malipo ya udhalimu wake hapa hapa diniani.
Hapo nilipo-bold pamenichekesha sana du!.
 
Janjaweed!

Yaani hao ni sawa sawa wache waitwe "Marie Stoppers" si unaona mwenyewe kampiga mgonjwa "stopper"! tehe tehee....!!
 
Ha haa haa p53 unamaanisha nje ya ofisi vipi? Unanikumbusha mabli sana hao ndo wako wengi sasa, wa appointment baadaye au akishapona!?

Hahahah mkuu yataka moyo kuvumilia.Linakuja toto safi halafu halina noma wala nini halafu mzee una lung'ai.Unatakiwa ulisasambue ulishikeshike halafu uliruhusu livae bila kuingiza nanihii na kibongobongo demu ukishamuona mbunye tu kwishnei!!Kama wewe ungeweza mkuu???Ndiyo maana wanasisitiza ni mwiko na hata hiyo kumtafuta baadaye inabidi ujiibe!
 
Back
Top Bottom