Daktari ambaka mgonjwa

Daktari ambaka mgonjwa

p53 pamoja na mawazo yako mazuri, umeonyesha dharau kubwa kwa wataalamu wetu. Una maana gani kuwakandya ma-Clinical Officer? Hivi unafahamu 90% ya wanaotoa huduma katika vituo vya afya, zahanati na hospitali Tanzania ni Clinical Officers? Na kwa taarifa yako kuna MD wengi mabomu na wabakaji.



Sikuonyesha dharau bali nimesema ukweli.Sasa kama kusema ukweli ni dharau basi na nihukumiwe!Vilevile sijasema kwamba MD wote wako perfect.Si ni binadamu hawa,sasa watakuwaje wakamilifu?Sema nchi zetu hizi zisizokuwa na utawala wa sheria na wananchi wasiojua haki zao.Wenzetu wako makini sana na miiko ya taaluma.Huwezi kuchezeachezea wagonjwa tu halafu ukategemea utasalimika.Vinginevyo itakutokea puani na utajuta kwanini ulienda medical school!
 
huu nao ndio uhanithi mwingine, kwanini ubake?

Mkuu naona ungefuatilia kwanza mtiririko wa hoja kabla ya kurukia mstari mmoja na ku comment.Sijawahi kufagilia ujinga wa huyo daktari(if he is a doctor anyway).Jamaa pamoja na kujiaibisha ameleta pia aibu kwa taaluma nzima ya udaktari.
Na issue siyo kubaka tu kwani hata wangekubaliana bado hairuhusiwi.Medical ethics zinasema wazi kuwa daktari haruhusiwi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mgonjwa wake.
 
kweli madaktari wengine ni wendawazimu kha....yaani kumbaka mgonjwa? mmmh, kuna watu wanaroho kama za mbwa....
 
Hawa jamaa wanawaharibia sana professional zenu mzee......! ningekuwa mi ni mume wa huyo mama, ngejifanya PSYCHIATRIC then, na yeye na mpa nusu kaputi.......then natafuta njemba zimpumlie kisogoni........!
duh!!! hilo nalo neno.
 
all in all, nchi yetu imeoza kwa maovu, hilo moja limeonekana, ni mangapi yanatendeka huko bila kuoneka? kila kona ni ufisadi tu, na si ajabu baada ya muda ukamkuta huyu dr yuko kazini kama kawa, cha msingi ni kuombeana kila siku maana inaonekana enzi za sodoma na gomora zimerejea tena.
 
all in all, nchi yetu imeoza kwa maovu, hilo moja limeonekana, ni mangapi yanatendeka huko bila kuoneka? kila kona ni ufisadi tu, na si ajabu baada ya muda ukamkuta huyu dr yuko kazini kama kawa, cha msingi ni kuombeana kila siku maana inaonekana enzi za sodoma na gomora zimerejea tena.

sawa kabisa

mimi naiona ishu nzima hivi:

daktari amekosa katika mazingira ya kibanadamu tu. kosa lake ni kushindwa kujitawala. kumtamani mtu anayetamanika si kitu, bali kujitawala ni muhmu, vinginevyo utabaka hata nyumbani kwako!

nina mashaka kama kile kipimo kilikuwa kinahitajika. inawezekana alimwandikia U/S ili amfaidi kwa macho akajikuta anapitiliza, ni wa kuhurumia sana na kabla ya kumhukumu ni vizuri akapewa ushauri hasaha na napendekeza apewe kifungo cha kuhudumia jamii mfano apelekwe kule haiti kwa wanaokabiliwa na athari za tetemeko la ardhi, aone majeraha na mateso, ajue shida na maiumivu yana sura gani, badala ya kumalizia muda wake akila maharage ya bure ya serikali huko magerezani
 
Back
Top Bottom