Go away!!
Reason logically..don't use anger..physics opens your mind, radiology..cardiology..you need physics In so many aspects of medicine ..Tanzania kwa ubabaishaji!!
Ushamba na ufinyu wa exposure ndio unaowasumbua.
wewe exposure uliyoipata ulaya mbona ilikufanya ukashindwa kuwatibu watz mpaka ukaitwa chinja chinja? Mpaka ukauchukia kabisa udaktari? Zungumzia maboresho usijifanye una exposure sana na huko nje. Mfumo wetu uliwekwa na watu wa enzi hizo unatakiwa uangaliwe upya. Kumbuka pia mfumo wa elimu yetu ulivyo mbovu itafikia hatua hakuna atakayesoma pcb, suala si kuwa daktari na wa cbg anaweza? Mbona engineering kuna kozi lazima uwe umesoma adv mathematics? Wa bam si anaweza? Tusiweke vigezo basi. Pia elimu ya kenya na tz tofauti kabisa huwezi kuilinganisha ndo maana hata kwenye vyuo vyetu waganda ndo wengi. Ndo maana us inabidi uwe na bsc kabla ya kusoma md.
why you think that any doctor must study physics for two years( a level)
What so special so that CBG cant become a good doctor without physics? You have to convice us and we dont want blah blah here.
I just wanna know. Whats so special in P?
Wadau Hiki kitu kinaitwa TCU haliwatakii watanzania mema..toka kimeanza kufanya kazi zake, wamekuwa wakichagua wanafunzi waliosoma combination ya CBG Kwenda kwenye fani ya udktari..hii haikubaliki yani no dhulma kwa wale wanaosoma PCB! Haiwezekani umshindanishe mtu wa CBG ambayo ni rahisi kufaulu kuliko PCB Kwenda kwenye chuo hicho hicho..geography an physics wapi na wapi? Jamani TCU jiangalieni..ndio maana muhimbili waliwakataa hao wanafunzi waliokimbia physics..hakuna DAKTARI bila physics!take it or leave it..watafutieni Jina lingine