Daktari alifanya nikampoteza mchumba wangu Mercy

Mapenzi ni ujinga,mapenzi ni upuuzi,mapenzi ni upumbavu,

Ila

Mapenzi ni faraja,mapenzi ni amani,mapenzi ni kuwa na furaha


Yanii mapenzi ni indescribable

Mwamba umepitia yote big up sana imekukomaza na hutafanya maamuzi ya kijinga tena "kama wale wa redioni"kwako maana wanaopitia upande mmoja huishia kuumia au kufurahia sanaa!!!
Hakika
 
sikufurahishwa na kitendo cha moyo wako kutokupasuka na afya ya akili kuimarika!
Kwa namna huna akili hata unapopata maono ilibid ukufe ili wengi wajifunze kutotilia maanani vitu vya holela kama mapenzi!
Kanuni ya mapenzi ni simple, tuko pamoja kwa sababu tunaongea lugha moja
Tofauti na hapo mambo mengine yaendelee.
kuna story ya ...umalaya na ukahaba napenda namna inachukulia ngono kitu cha kawaida mno!
Wivu usio na gavana ni ulemavu na adui wa furaha!
Ile story ya uongo, i left alipoanza kuleta story za usalama kuhusika na yule katibu mkuu. Totally a lie
 
Shida nyingi inayowapata wanaoshindwa ku-move on ni zile hisia za kuwa huyo uliye naye ni wa kipekee sana, hauwezi kupata mwingine kama yeye.

Mambo ni tofauti kwa ground; kuna watu wengi tu ambao ni wema na bora kumzidi huyo. Epuka ukosefu wa exposure, jichanganye, ufungue moyo uangalie na wengine.

Ulikuwa unaishi vizuri kabla hajaja kwenye maisha yako, unaweza ukaishi vizuri zaidi hata akitoka kwenye maisha yako. Although it's hard; life has to, and MUST, go on.
Ushauri mzuri ila nyie inaonekana kabisa bado hamkuwahi kupenda. Expectations ukishakaa na mtu muda mrefu kidogo ndo zinazoumiza. Ukichanganya na mazoea, unakufa kabisa kihisia. Ukiona mtu ka move on kirahisi rahisi ujue huyo hakupenda basi kiukweli ukweli.
 
Kijana pole sana na yote aliyokufanyia mercy na cha kufanya acha kuchati tena na mercy alafu pale unampiga biti dokta ndo ulimpa ushindi dokta alafu dokta sio kosa lake kosa la mercy kukuchiti angemkatalia hadi mwisho kwan angebakwa alfu ungempa wazo messy angebadili lain ya simu apo ndo ungekuwa umeua . WANAUME HAWANA MAKOSA KOSA LIPO KWA ALIYEKUMKUBALI MWANAUME mercy muoe tu ila mwambie awe mke wa pili kwanza oa pisi kali then mercy atafanya ujinga atajiona mavi da mapenzij acha tu kama mimi ningemloga dokta bucha na mercy ningemloga mikosi .Take time wazuri bado hawajazaliwa
Uko sawa kabisa, me nimemwambia bwana mdogo kwamba kama bado anaumia, kisasi ni haki yake. Asogee tu handeni tumalize shughuli, huyo dokta anayejiona ana hela, akazimalizie kujitibia sasa ili akili imkae vizuri. Dawa ya moto ni moto tu.
 
Shida inakuja kama akiumwa na kwenda hospitali wakumtibia ni dokta lazima uwe mpole maan x-trial unaweza ikwepa ukapanda daladala😀😀
Hawa ndo wanapataga PTSD hadi wake zao badae hawataki wajifungue mbele ya daktari wa kiume, wako tayari watoboke mifukoni ila daktari awe mwanamke. Me nadhani kijana atafute mshauri nasaha mzuri amsaidie. I can reccomend one akitaka
 
Ushauri mzuri ila nyie inaonekana kabisa bado hamkuwahi kupenda. Expectations ukishakaa na mtu muda mrefu kidogo ndo zinazoumiza. Ukichanganya na mazoea, unakufa kabisa kihisia. Ukiona mtu ka move on kirahisi rahisi ujue huyo hakupenda basi kiukweli ukweli.
Nimeshauri nikiwa na experience. Nilipenda, nilinyoshwa. Halafu nilipo-move on, nikajichaganha na watu ndiyo ninagundua kumbe demu mwenyewe alikuwa kipori.
 
Pole sana aiseeh. Ulisema Mercy alikua anakupa Penzi kwa mafungu mafungu, ila baada ya kutoka kwa Dr. alianza kukupa mapenzi ya nguvu inamaanisha Dr. alimpa uzoefu wa kukazwa sana.
Ukimuoa Kaa ukijua kuwa Kuna siku Dr. atamuita kuona mtoto atamkaza tena na atakutumia sms vilevile kukuumiza pia.
 
Pole sana aiseeh. Ulisema Mercy alikua anakupa Penzi kwa mafungu mafungu, ila baada ya kutoka kwa Dr. alianza kukupa mapenzi ya nguvu inamaanisha Dr. alimpa uzoefu wa kukazwa sana.
Ukimuoa Kaa ukijua kuwa Kuna siku Dr. atamuita kuona mtoto atamkaza tena na atakutumia sms vilevile kukuumiza pi

Pole sana aiseeh. Ulisema Mercy alikua anakupa Penzi kwa mafungu mafungu, ila baada ya kutoka kwa Dr. alianza kukupa mapenzi ya nguvu inamaanisha Dr. alimpa uzoefu wa kukazwa sana.
Ukimuoa Kaa ukijua kuwa Kuna siku Dr. atamuita kuona mtoto atamkaza tena na atakutumia sms vilevile kukuumiza pia.
Understood
 
Tuendeleee.......

Hapa nikaona kabisa Mercy hakuwa na mapenz na Dokta ila shida ni tamaa za pesa na Dokta alikuwa hana mpango wa kumuoa Mercy ila alihitaji kunikomoa tu. Nilihisi vile baadae baada ya siku moja Dokta kunitumia ujumbe "dogo wanaume tushafanya yetu ole wake hiyo mimba mkaitoe".

Hii text alinitumia siku moja kabla ya Mercy kufanya jaribio la kuitoa ile mimba. Hii text sikumuonesha Mercy niliona kama ntamchanganya tu na Haina maana.

DOKTA ALIMTIA MERCY MIMBA KWA MAKUSUDI NA ALIMLAGHAI KWA PESA ZAKE, HII KITU MERCY MWENYEWE NDO ALINAMBIA.

Niliwaza kama Mercy alikuwa hampendi Dokta ni kwanini alikubali kufanya nae tena kavu siku zake za hatari. Sikupata majibu sahihi nikaamua kuipotezea tu japo niliishia kuamini kuwa pesa ndo ilimshawishi Mercy mpka kubeba mimba.

Swala la Mercy kwenda namimi kwao akanitambulishe sikulikubali niliona Mercy hajafikiria kwa kutuliza akili na pia binafsi sikuwa tayar kuoa mwanamke mwenye mtoto.

SIKU YA KUAGANA NA MERCY ILIKUWA NI MAJONZI SANA.

Nilimsindikiza stand akapanda bus kuelekea kwao. Mimi naye nilibaki kwanza pale town kuna mambo yangu nilikuwa nayafatilia.

Nilikaa kama mwezi hivi ukizingatia hata kodi yangu bado ilikuwa inasoma. Kipindi kile nipo bado pale town niliamua nimtafute Merry, Merry alikuwa tayar kashaondoka kwenda Field alienda mkoa wa dodoma. Nilipomaliza mishe zangu nikapak vitu vyangu nikaondoka nyumbani namimi.

Mawasiliano na Mercy yaliendelea ila upande wangu nilianza kuona Haina tena haja ya kumtafuta mara kwa mara ila yeye alikuwa ananitafuta sana ananisihi nimuoe hata kama bado sijajipanga yeye kwao pesa so shida sana. Aliahidi ataomba pesa ya mtaji tuanze kuzichanga mdogo mdogo ila mimi nikaona kabisa Mercy nikimuoa na tayari kazaa na Dokta nitakua nimejitia kitanzi na kujibuturia kistuli mwenyewe.

Matokeo ya semester ya mwsho yalitoka na mimi na Mercy sote tulifaulu vizur hakukuwa na mtu mwenye kimeo.
Japo nilikuwa bado naumia kumkosa Mercy lawama zangu zote nilizielekezea kwa Dokta na niliahidi kutokuja kumsamehe yule jamaa.

Ilikuwa mwez wa1 mwaka jana Mercy alijifungua mtoto wa kiume na anamuita Johnson, still Mercy ananisisitizia nimuoe lakini bado sioni kama kumuoa Mercy nitakuwa nimefanya jambo la msingi.

Mimi naye hali yangu ya kiafya ilichange ghafla nakumbuka ilikuwa mwez wa 12, 2022 hata graduation sikufanya, nilipatwa na kama kistroke flan yani upande wa kushoto haukuwa sawa. Nilishindwa kutembea, nilipoteza uwezo wa kuongea kwa takriban wiki Moja yani mdomo ulikuwa mzito sana ila nilikuwa natumia maandishi nilipokuwa nahitaji kuongea na mtu.

Nilipelekwa hospital nashukuru Mungu pamoja na madaktari walifanikisha kunipa huduma nikarudi katika hali yangu ya kawaida.
Nilitumia madawa tofaut tofaut ila kuna hiyo moja siwez isahau. Najua kuna wataalam wa afya humu wanaijua vizuri inaitwa "Aten" sijajua kama ndo jina linaishia hapo au linakirefu chake. Hii dawa bhna nakumbuka siku hiyo nilikuwa bado siwez kuongea mtaalam akaagiza ikachukuliwe hii dawa, ni tu vidonge tudogo sana kiumbo, niliambiwa nimeze kamoja tu kwa siku ila mziki wake hii dawa sio wa kitoto.

Hii dawa ukiitumia inakufanya upate ham ya kuongea, inakufanya ujihisi raha yani sinywi na sijawahi kutumia pombe lakini nature ya hii dawa inataka ifanane na tabia ya pombe. Nilikuwa naambiwa nimeze kimoja kwa siku lakini nilikuwa nataman nipige hata tutatu kwasababu yani vilikuwa vinanichangamsha kwanzia kichwani mpka sehem zingine za mwili.

Nilipona kabisa na mpka sasa niko poa.
Mercy naye anaendelea vizuri na mtoto wake na kila siku ananitafuta (hata asubuhi hii kashanitumia text) tunaongea na kuchat saana. Kila siku ananikumbusha kuhusu swala la ndoa na anasisitiza sana nimuoe kwani ananipenda lakini mimi bado sipo tayar kwasababu Mercy tayar anamtoto na sio mtoto tu ila mtoto ni wa Dokta mtu mwenye ROHO mbaya.

NIKIONA KUNA HAJA YA KULETA MREJESHO JUU YA MIMI NA MERCY BASI NITARUDI KUWAPA MREJESHO JUU YA NINI KINAENDELEA LAKINI MIMI BADO SIONI KAMA NINAWEZA KUMUOA MERCY.

Naomba kufunga Uzi wangu kwa kuwashukuru nyote na nawatakia kila lakheri katika safari yenu hapa duniani hasa katika ulimwengu wa mapenzi.

AHSANTENI 🫶🫶🫶.
Nimesoma uzi huu nikiwa na hasira sana mimi ni Mama li shangazi na watoto wa kiume wa 3 kila siku nawafunda kuwa wanaume uzi nilikuwa nausoma nashikwa na hasira nilikuwa nafurahia comment za DR Mambo Jambo nimeongeza kitu kwenye mafundisho ya vijana wangu.
 
Mara nyingi manzi akikutana tu na Hawa viumbe Anza kuhesabu maumivu.
Kuna madoctor
Askari
Muuza nguo za dukani
Wasusi WA kiume
Maafisa bank
Wauza chips
Akitoa tu namba Kwa hao watu Anza kujiengua mapema.
Na kama hutak kujiengua basi kubal kushare.

Kuna manzi nilimpenda Sana nilijiaminisha Sana kwake
Nilijitoa Sana kwake Kwa hali yangu hii hii ya umaskin
Nilimpa muda wangu
Niliona Dunia ni yangu.
Ila mwisho WA siku nilikuja lipwa maumivu makali Sana.

Kupitia huyu pimbi nawaona wanawake wote kama shetan.
Yes nimeoa lakin nimeoa tu kutimiza wajibu ila mwanamke wangu simpi umuhimu wowote ule maishan mwangu.

Namchukulia tu kama mshkaji so hata akiondoka Leo hii Sina Cha kupoteza maishan mwangu .

Kwakifupi Sina Ile love ya kumpa mwanamke seriously yaan nipo neutral Sana .

Ushaur wangu Hawa viumbe tuishi nao tu ila tukijua ni kama kitanda Cha lodge Leo utalia wewe kesho atalalia mwingine ,Sina Tena huo moyo WA kumzingatia kiivo mwanamke .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom