Dakitari huyu amethubutu na ameweza

Dakitari huyu amethubutu na ameweza

Afrimec company group tunazid kua karibu yako.ambapo chini ya kampuni hii kuna huduma zifuatazo
1.Dr Msua :Ni dakitari wa afya ya binadamu pia ana shahada ya telemedicine na family medicine ambapo yote hii ni kuhakikisha unapata huduma yake popote unapokua kwa wakati wowote(ONLINE Consultations)

2.Wound care:Ni huduma mabayo kwa sasa inatolewa kwa wakazi wa mwanza Tu huduma hii inatolewa kwa wagonjwa waliofanyiwa opareshen either kwa kujifungua au sababu yoyote au kwa wenye vidonda nya mda mrefu kama wagonjwa wa kisukari nk;ambapo unafanyiwa wound dressing nyumbani kwako kila siku.

3.HOME BASED AND FAMILY DOCTOR:Huduma pia kwa sasa inatolewa jijini mwanza pekee ambapo unafatwa nyumbani na dakitari anakuona na vipio vya damu unafanyiwa ukiwa nyumbani na majibu unaletewa nyumbani na matibabu yake pia.

hakikisha unatufollow katika
facebook :afrimectz
instagram afrimec
+255759212578


3a31f499fa77a518eca4b1e1f412facf.jpg[/IMG]View attachment 503010
Nyie madaktari mnalazimisha utajiri kila mtu amefungua page facebook hasa hawa Dr toka kcmc ni shidaa, Mbona muhimbili madaktari bingwa tunawatafuta, wewe unauza fani Kama maharage
 
Nyie madaktari mnalazimisha utajiri kila mtu amefungua page facebook hasa hawa Dr toka kcmc ni shidaa, Mbona muhimbili madaktari bingwa tunawatafuta, wewe unauza fani Kama maharage
Huduma hii imesajiriwa kisheria na ni group of companies na inalipa kodi vile vile.kama ingekiuka SHERIA za nchi isingesajiriwa
 
Huduma hii imesajiriwa kisheria na ni group of companies na inalipa kodi vile vile.kama ingekiuka SHERIA za nchi isingesajiriwa
Usivujike moyo mkuu! Hiyo huduma ni muhimu sana.
 
Usivujike moyo mkuu! Hiyo huduma ni muhimu sana.
Pamoja Mkuu asante sana
Sasa ninashangaa watanzania wanataka watu wajiajiri kwa kumfollow mange kimambi Ama nini
 
Huduma hii imesajiriwa kisheria na ni group of companies na inalipa kodi vile vile.kama ingekiuka SHERIA za nchi isingesajiriwa
Haya Ndio ya Dr Mwaka, Mmefikia hatua mnatafuta wateja, Mnataka kuua innocent people kisa mmekosa ajira, Kwanini muanze kujitangaza, Uwezo wako utakusafisha, Umegeuza udaktari Kama Commerce au Marketing, Acha udaktari rudi kwenye biashara zingine, huo ni utapeli, Eti unapima damu halafu unabeba mitaani kisha Baadae unaleta home kwangu majibu, Hospital kuna process na mgawanyiko wa kazi, wewe unajifanya lab tech halafu daktari, Shame on you ni muhimu kupitia sheria upya hili ni janga kubwa la utandawazi
 
Hili lako umetusaidia Sana kumuona waziri wa afya kingwala awadhibiti mapema
 
Hivi jaman niulize unajiskiaje mtanzania mwenzako Mwenye taaluma husika anapomuhudumia mwenzako mfano

Mtu anakidonda na anaona usumbufu kwenda hospital au kituo cha afya dakitar anamfuata kwake na ana mdress kila Siku hili nalo ni la kupingwa ?

Hya mfano mwingine una ugonjwa wa muda mrefu dakitar anakupa option ya yeye kua anakufata nyumban na anakuattend kukiwa na umuhimu wa vipimo anachukua vipimo yeye mwenyewe na anapeleka majibu na anakuletea majibu na solution ya tatizo lako hilo nalo nilakupingwa ?
Watanzania tubadilike
Tusikalili mfumo
Nyie madaktari wa sijui first degree, sijui Clinical officer's mmejiharibia, hili utalisikia bungeni likiwataka muondoe page zenu uchwara mitandaoni ni aibu daktari hajui ethics za kazi, Ulisoma nini na wapi? Kilaza mkubwa wewe, unatangaza udaktari wa binadamu
 
Lakini kama brella walikubali kunisajili kama first Tanzania online medical consultation panel na kuniruhusu kufanya branding na publicity basi niko kwenye mikono salama

Afrimec company group
Type CV yako, isije ikawa tunabishana na BASHITE.
Hivi Brela wanasajili madaktari?
Rules and regulations za Ku run medical services zinatolewa na Brela?
 
Tapeli mwingine huyu

So negative kwa maisha na mafanikio ya wenzako! Shame on you!

Hata simple google ungeweza kujua undani wa alichokitangaza. Sasa kwa akili yako, atafahamika vipi bila kuweka information in public? The good thing..they are doing it online.... Yes, lawyers, Architects, doctors etc wana limitations za kujitangaza. But it is not strictly prohibited. (I happen to be in one of these categories). Kila siku tunapata info. online za madaktari na wauguzi huko nje. If not, how then do we go to India na kwingineko kupata matibabu???

Tusipende kuwa negative, especially tunapoona mwingine anakuwa tofauti na mazoea yetu! Tuwe wepesi wa kujifunza kuliko kulaumu. Especially kwa wale wanaofikiria tofauti na sisi.
 
So negative kwa maisha na mafanikio ya wenzako! Shame on you!

Hata simple google ungeweza kujua undani wa alichokitangaza. Sasa kwa akili yako, atafahamika vipi bila kuweka information in public? The good thing..they are doing it online.... Yes, lawyers, Architects, doctors etc wana limitations za kujitangaza. But it is not strictly prohibited. (I happen to be in one of these categories). Kila siku tunapata info. online za madaktari na wauguzi huko nje. If not, how then do we go to India na kwingineko kupata matibabu???

Tusipende kuwa negative, especially tunapoona mwingine anakuwa tofauti na mazoea yetu! Tuwe wepesi wa kujifunza kuliko kulaumu. Especially kwa wale wanaofikiria tofauti na sisi.
知己知彼,百戰不殆。 ( Zhī jǐ zhī bǐ, bǎi zhàn bù dài. )
If you know both yourself and your enemy, you can win numerous (literally, "a hundred") battles without jeopardy.
 
Haya Ndio ya Dr Mwaka, Mmefikia hatua mnatafuta wateja, Mnataka kuua innocent people kisa mmekosa ajira, Kwanini muanze kujitangaza, Uwezo wako utakusafisha, Umegeuza udaktari Kama Commerce au Marketing, Acha udaktari rudi kwenye biashara zingine, huo ni utapeli, Eti unapima damu halafu unabeba mitaani kisha Baadae unaleta home kwangu majibu, Hospital kuna process na mgawanyiko wa kazi, wewe unajifanya lab tech halafu daktari, Shame on you ni muhimu kupitia sheria upya hili ni janga kubwa la utandawazi
The the the imebid nicheke jinsi unavyona the wa way we differ in thinking

Kwanza kabisa tambua kua Kampuni hii INA watumish wake
Ina madaktari ina nurses ina lab technician ina had wafamasia na pia ina management may be hukuewa jinsi ilivyopstiwa sijaja kufanya argument nimekuja kuwapa info watanzania na had sasa mwanza tuna client zaid za 590 endelea kununa utaishia kumlaumu Mheshimiwa maguful kumbe wewe ndo unajozorotesha hahaha hahahaha
 
Hii huduma yako ni nzuri sana watu hawajui...mimi huwa sipendi kupanga foleni hospitali, sipendi kujulikana naumwa....yaani kama una ugonjwa wa siri kila mtu ajue ebo!
labda ungetuambia na gharama zako...
 
Hapa sijitangaz natangaza Huduma ninazotoa mfano kama ambavyo unaweza tangaza clinics yako ya meno nk
Huku ni kujitangaza. Kuweka huduma unazotoa na kueleza kuwa hakuna mwingine anayetoa ni kujitangaza.
Example PHYSICIAN Bsc Makerere 012 345 678 . Hili sio tangazo.
 
Back
Top Bottom