Dakika za majeruhi - njoo tuzogoe

Dakika za majeruhi - njoo tuzogoe

Binti wa zamani

Platinum Member
Joined
Nov 19, 2011
Posts
11,902
Reaction score
27,636
Natumai siku yako imeenda vizuri na una furaha. Chagua swali au maswali ambayo hutojali kuyajibu na tuzogoe pamoja.

  1. Kitu gani kimefanya maisha yako kuwa rahisi kwa mwaka huu? 



  2. Mstari gani wa wimbo unakugusa na unaona kama unaongelea yanayoendelea maishani mwako?

  3. Kama ungeweza kumuuliza mwanamke yoyote swali, angekua nani na ungemuuliza nini?



  4. Vipi keshokutwa unatoka, unatiki au unabaki nyumbani?

  5. Sehemu gani ya mwili akikugusa unampa?
 
Happy Season 5 GIF by grown-ish.gif
 
  1. Pesa
  2. Malengo ya Mungu - "Simameni kwenye mnara, usubiri ntakacho kisema, izuieni sauti za mwovu, na upende kuwa mwenye haki"
  3. Bibi yangu - kwanini alimkubali babu yangu ambaye hakua mtu mwema kwake?
  4. Nabaki home - hakuna namna naenda kuvunjwa kiuno na uzee huu.
  5. Si lazima aniguse, kuna namna akiniangalia tu au nikimletea kisirani halafu akaniambia "nikukute kitandani" lazima nianze kuloa 💧maana najua atanichapa na kunitia adabu na ukuni wake 😋🤭.
 
1. Maisha yangu sio rahisi, its ups and downs nadhani hadi kukata moto, its never an easy ride.
2. Generally gospel music, nikiwa down gospel inani revive.
3. Atoto, ningemuuliza mbona ananifanyia hivi, sio fair!!
4. Mimi ni Gen X, nikisema nitoke nikivunjwa mbavu hazitapona...ila nitatoka tu😅
5. Sio kuguswa, kuna namna akinitizama tu tayari, regardless ya uzee😅
 
1. Sijui hata maisha rahisi ndio kitu gani

2. Mistari mingi, ila kwa hapa umekuja ule wa "ujana una mengi na mengi nimefanya, siwezi danganyq nishamaliza" mstari huu huwa nakumbuka ile mikong'oto, 3some, purukushani zote za ujana, mabalaa mengi niliyofanyq, kisha huwa natabasamu tu.

3.hii, mpaka nimeze mate ya akili, kwa haraka haraka sina jibu

4.kati ya kutoka na kukaa nyumbani, siwezi kwenda kutiki, bora niingie motoni kuliko kwenda kutiki

5. Kunigusa mbona mbali kote huko, mie mtu akiniambia tu amemisi MJEGEJE wangu au kamisi SHUGHULI za kukuru kakara.. ama kuonesha tu dalili ya kumisi huduma yangu
Basi mie DUDUKILA linainuka hapo hapo
 
1. Nimejifunza kupotezea
Inaepusha disappointments mingi
2. Majina yote mazuri - umenipigania nakuita Jehovah Nissi. Mungu amenishindia vya hapa na pale
3. Ningewauliza wanawake wa karne hii.. kwanini ni wanafki sana
4. Ninabaki nyumbani.. sitaki masihara na siasa zenu
5. Manyonyo 🤭😀 + akiniangalia akasema ujue wewe ni mjeuri sana. Kwishaaa
 
Natumai siku yako imeenda vizuri na una furaha. Chagua swali au maswali ambayo hutojali kuyajibu na tuzogoe pamoja.

  1. Kitu gani kimefanya maisha yako kuwa rahisi kwa mwaka huu? 



  2. Mstari gani wa wimbo unakugusa na unaona kama unaongelea yanayoendelea maishani mwako?

  3. Kama ungeweza kumuuliza mwanamke yoyote swali, angekua nani na ungemuuliza nini?



  4. Vipi keshokutwa unatoka, unatiki au unabaki nyumbani?

  5. Sehemu gani ya mwili akikugusa unampa?
1. Neema na Rehema za Mungu, mwaka huu kwangu zimefanya maisha kuwa rahisi.
2.Zuchu - Raha
3. Binti wa zamani ( kama upo single )
4. Nipo kwenye harakati za kusafisha nchi, October 29 tunakazi moja kuwanyonga wahuni na wauji
5. 😅😅 tukikutanisha macho macho, alafu akaweka kichwani chake kifuani imeisha hiyoo
 
1. Maisha yangu sio rahisi, its ups and downs nadhani hadi kukata moto, its never an easy ride.
🫂 ndiyo maisha
2. Generally gospel music, nikiwa down gospel inani revive.
Tupe nyimbo uzipendazo
3. Atoto, ningemuuliza mbona ananifanyia hivi, sio fair!!
Jamani Atoto usiwe hivyo
4. Mimi ni Gen X, nikisema nitoke nikivunjwa mbavu hazitapona...ila nitatoka tu😅
Najua hautoki, ila hapa huwezi kusema 😅😅
5. Sio kuguswa, kuna namna akinitizama tu tayari, regardless ya uzee😅

big brother yes GIF by Global TV.gif
 
1. Kuna msemo nilisikia kwenye movie ya spider no way home unasema "if you expect dissapointment you will never be dissapointed" hivyo huu msemo ndo huwa naishi nao
2. Huwa nasikiliza sana nyimbo za love song sikumbuki mstari unao nihusu maisha yangu hasa
4. Naenda kulitetea taifa
5. Sio kunigusa ila kuna aina flani akiniangalia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom