Dakika za lala salama, Mwana mabadiliko umejipanga vipi?

nifah ujumbe mzuri sana tuhimizane kwa kila mwenye uwezo. Kura yako ndio maisha yako!
 
Last edited by a moderator:
Lowasa ndo Rais wetu tushaamua ivo kila kitu kishawekwa Sawa
 
nifah,
Lowassa ni superPower amefanya kampeni mara 4 katika uchaguzi wa mwaka huu,kura za mjini na vijijini anazo za kutosha,kumbuka huyu alikuwa ccm miezi 4 iliyopita,na kura hawawezi kuiba .

Naomba hii aione popoma DuppyConqueror maana huyu jamaa mbishi sana.
 
Last edited by a moderator:
nifah ujumbe mzuri sana tuhimizane kwa kila mwenye uwezo. Kura yako ndio maisha yako!

Asante sana mkuu MANI....
Hilo ndilo lengo hasa,ushindi ni lazima upatikane kwa namna yoyote ile.
 
Last edited by a moderator:
Asante sana mkuu MANI....
Hilo ndilo lengo hasa,ushindi ni lazima upatikane kwa namna yoyote ile.

Nifah hizo ndio fikira endelevu. Sijui kama umeona huu ubunifu hapa JF. Tafadhali wasambazie wanamabadiliko wengine na waombe na wao pia wawasambazie wengine kwa njia zote za mitandao:

"Hiyo nimeipenda sana kamanda mtoa hoja. Inabidi kweli tujipange tupeane nafasi, siyo wote tunajazana vituoni kwa wakati mmoja tunapiga alafu tunatoka wote.

Hiyo itatusaidia kubaini njama zozote ovu dhidi yamabadiliko. Mimi tayari nimelifanyia kazi kwakuwapa taarifa makamanda wenzangu huku mbezi, tumejipanga tutapishana kilamtu kwanusu saa. Yaani tumeshapanga kuanzia saa12 ataanza mmoja anaingia ktk foleni, saa12:30 anafuata mwingine, saa1:00 mwingine, saa1:30 mwingine........ hivohivo mpk muda wakufunga.

Nawengine tumekubaliana wasubiri mpk dakika za lala salama ili wawe wamwisho. Hii itasaidia sana kugundua dalili zozote zenye utata.

Piiiiiiiiipppppooooozzzzz!!!!!"

By Makele Mbele (Ocktoba 23, 2015)

https://www.jamiiforums.com/uchaguzi-tanzania/961030-jinsi-ya-kulinda-kura.html
 
Mkuu kwa upande wangu chama kilinipa jukumu la kuratibu mawakala, zoezi limeenda vizuri kabisa na mimi ni miongoni mwa mawakala, naahidi kukitendea haki chama changu.

Ndugu wakala ushauri wangu ni juu ya vyakula mtakavyoletewa na kila..plse wawepo watu maalum..sio kila mtu..kama mkeo and ndugu unaemwamini..na isiwe vitu vya maji maji sana..tabia ya kwenda choon kila mara ni mpenyo wa goli la mkono!
 
Nifar nakupendaje...mimi Hadi hapa nishatoa elimu ya kupiga kura kwa watu zaiddi ya ishirini na kila mtu kaelimisha angalau mtu mmoja...Pia nimeshauri vijana Wa boda, taxi na bajaji na yeyote mwenye usafiri..atafute wazee au wagonjwa wasiojiweza wapenda mabadiliko awasafirishe Hadi kituon..na awarudishe. Nashauri hata wewe uhamasishe rafiki, jirani kufanya ukarimu huo!
 
Mkuu safarihii ccm hawahitaji kuiba kura...ushindi ni laini...hapo ndo mtakapojua dhambi ya kuwasaliti watanzania na kumuweka fisadi cc Eng.Livingstone

Wewe huna tofauti na mwana mahaba mwenzio kwa Slaa Mzee Mwanakijiji.
Kisa 'kipenzi' chenu kiliwekwa benchi ndio mnamchukia mzee wangu Lowassa.
Ila jiandae tu,Magufuli hashindi....
Subiri na uone.
 
Last edited by a moderator:
Nyumbani kwangu kuna kura 8 za Rais Lowasa, Mbunge Mnyika na Diwani Kolimba.




Hatutaenda kanisani siku hiyo na tutakuwa wa kwanza kufika kituoni.




Nimetoa usafiri kwa majirani ambao wanaenda kumpigia kura Lowasa.




Majina yao nimeyakusanya, yanakaribia 30 nawaletea coaster kabisa. Wasipotosha nawapakia kwenye pick up.



Na uzuri pembeni ya kituo kuna bar kama mita 40 hivi, tutakuwa tunaangalia mechi ya Man Utd vs Man City huku macho yapo kituoni.



Bili ya walinda kura nitalipa mimi.

Mitaa ipi mkuu tujongee 25 oct
 
Mkuu unamwaga Povu kwa kujipa matumaini ikiwa Mwenyekiti wako Kichwa kinapata moto kila Mara anazuka na mkwara mpya
Mwenyekiti kaanza kuhamisha mabilioni kinyemela...Edwadi amesema baada ya october atahamia Longido...unajua hiyo maanayake nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom