Nifah
JF-Expert Member
- Feb 12, 2014
- 31,520
- 65,188
- Thread starter
- #81
Nifar nakupendaje...mimi Hadi hapa nishatoa elimu ya kupiga kura kwa watu zaiddi ya ishirini na kila mtu kaelimisha angalau mtu mmoja...Pia nimeshauri vijana Wa boda, taxi na bajaji na yeyote mwenye usafiri..atafute wazee au wagonjwa wasiojiweza wapenda mabadiliko awasafirishe Hadi kituon..na awarudishe. Nashauri hata wewe uhamasishe rafiki, jirani kufanya ukarimu huo!
Duuuuh!Kumbe watu mko vizuri hivi?
Kwakweli na mimi ngoja niongeze jitihada.
Kuhusu elimu ya kupiga kura naitoa sana mkuu.
The way nilivyojitolea kwa mabadiliko hadi watu wananishangaa wakidhani nalipwa!!