Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 22,606
- 29,755
Wakuu zangu. nimeona ile heading ya Habari Leo nikasema moyoni mwangu kwamba hawa wenzetu bado kwenye enzi za chama kushika hatamu.
Ingawa wengi tutasema tuwaache hawa bila kuwapigia kelele but madhara ya hahari watoazo ni makubwa kuliko maelezo. vyombo vya habari kama hivi ndivyo vinavyoipeleka nchi pabaya maana vinajua ukweli lakini vinaamua kwa makusudi kuupotosha na kusema uongo uliokufuru.
Wahusika (CHADEMA) wanapaswa kuchukua hatua kuwashtaki kunakohusika ili hata kama hazitachukuliwa hatua basi rekodi ziwekwe.
Ingawa wengi tutasema tuwaache hawa bila kuwapigia kelele but madhara ya hahari watoazo ni makubwa kuliko maelezo. vyombo vya habari kama hivi ndivyo vinavyoipeleka nchi pabaya maana vinajua ukweli lakini vinaamua kwa makusudi kuupotosha na kusema uongo uliokufuru.
Wahusika (CHADEMA) wanapaswa kuchukua hatua kuwashtaki kunakohusika ili hata kama hazitachukuliwa hatua basi rekodi ziwekwe.