Hahahahahaaa umenikumbusha mbali kweli, enzi za Orange Squash!Umenikumbusha enzi zetu yaani watoto wa Msalato au JKT Makutupora wakifunguliwa wewe unanunua Orange Squash na maji km kindoo kido cha lita 10 halafu unachanganya wakija unawapa na biskut kazi inaisha, walikuwa ni bora lakini vituko hivihivi,'Enzi zetu hakuna vocha wala chips
Mkuu naunga mkono hoja asilimia mia moja.Hivi sio vitoto ni vibinti vya chuo ndio vipo hivyo
Chipsi kuku na hela ya saluni mwanaume anatoka jasho??
Hapo hakuna cha kushangaa, ni kwamba unatakiwa ulipie kulingana na bidhaa au huduma unayoipata. Kama hakuna proportional and equivalence lazima ulalamike..........vyoooote hivyo kwa dakika tatu tu?shangaa sasa...!!
Chipsi kuku na hela ya saluni mwanaume anatoka jasho??
Umenena vyema sana,M'Jr sasa laki kitu gani bwana kama una shughuli?na ulimfatia nini mtoto wa kike kama unataka k tu afu unasepa,toa pesa wewe mwanamke huduma!!ungemuona kama si muonekano wake unaotokana na pesa?
Okay hebu twende kwa concept ya biashara,M'Jr ikiwa ni rship au business mtoto wa kike matunzo basi,wewe kama unaona kutoa pesa kwa mdada ni ishu basi achana nae,ata ivo mahusiano ya vijana wengi wa kiume ni kibiashara zaidi wachache wanaoaza uhusiano na mdada kwa nia ya dhati na wala hutaona shida kutoa pesa za mboga km izo
Shida yote hii natafuta nini ambacho hakipatikani sehemu nyingine??
Hapo hakuna cha kushangaa, ni kwamba unatakiwa ulipie kulingana na bidhaa au huduma unayoipata. Kama hakuna proportional and equivalence lazima ulalamike..........vyoooote hivyo kwa dakika tatu tu?
Halafu hebu tufanye hesabu kidogo ili tujue hii invoice ina value gani kimsingi;
Vocha 5,000
Chips Kuku 4 (12,000 x 4) 48,000
Deni analodaiwa 35,000
Hela ya Salon 20,000
Total 108,000 Tshs
Kimsingi hii ndio thamani ya bill aliyopewa huyu jamaa kwa kuonana na kibinti for 3 minutes!
Mkuu unauliza ung'olewaji wa kucha na meno bila ganzi mabwepande? Wanaboa sana hawa, niliwahi kupata mwanachuo mmoja wa chuo kimoja kikubwa hapa bongo, kabla hata sijapiga penati mizinga kibao ikabidi nimpe, nilipopiga penati tu nikamkatia mawasiliano na SIM chip nikabadilisha.Dah mkuu, yamewahi kukukuta haya?
Dah pole sana mkuu, lakini huoni kama ulijitesa pia? Kuna wataalam wa kuwakatia bila kubadilisha line ungekuja kuomba njia mbadala ya kumpotezeaMkuu unauliza ung'olewaji wa kucha na meno bila ganzi mabwepande? Wanaboa sana hawa, niliwahi kupata mwanachuo mmoja wa chuo kimoja kikubwa hapa bongo, kabla hata sijapiga penati mizinga kibao ikabidi nimpe, nilipopiga penati tu nikamkatia mawasiliano na SIM chip nikabadilisha.
Huwa sina kawaida ya kuwakatia line watu kama hao ila huyu aliniudhi sana kwa usumbufu wake wa kujiona matawi sana mtaani na kuomba vocha kila siku wakati simu mpaka nimpigie mm bana.Dah pole sana mkuu, lakini huoni kama ulijitesa pia? Kuna wataalam wa kuwakatia bila kubadilisha line ungekuja kuomba njia mbadala ya kumpotezea
Kwa hiyo kimsingi uliona ni biashara isiyokuwa na faida eeh?Huwa sina kawaida ya kuwakatia line watu kama hao ila huyu aliniudhi sana kwa usumbufu wake wa kujiona matawi sana mtaani na kuomba vocha kila siku wakati simu mpaka nimpigie mm bana.
ukiona hvyo ujue kuna mwenzio anafaid buree au anakula unavyohonga ww...............