Dah! Nyumba za kupanga hizi...

Dah! Nyumba za kupanga hizi...

Hahaha hawa viumbe sio nimekumbuka enz nkiwa Chuo bna jiran yangu alikua mdada mmoja hivi kuna jamaa alikua kila akija tunajua leo hatulali uyo dada atalia kama mcheza X vile cjakushangaza akikaa na sisi anamkandia jombaa kua hawez kitu anafanya vile kumpagawisha mana jamaa ndo anamuweka mjini. Ndugu zangu ukipiga show Kama ni mdada wa kitanzania akilia kwa kiingereza ujue ana act huyo ila akipiga ukunga kama kafukuzwa mwizi ujue apo sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom