Dah... Jacob stephen (jb) hapa mh ilipitiliza.....

Dah... Jacob stephen (jb) hapa mh ilipitiliza.....

ngoshwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2009
Posts
4,141
Reaction score
950
Pengine una hamu ya kuangalia Tamthilia za Nyumbani ila wanapojaribu kuweka tasfiri ya lugha ya kigeni ni vyema wakatafuta mtaalamu wa lugha hiyo na sio kutumia watu holela.

Hivi ni vipande tu vya "subtitles" toka katika Tamthilia ya " NAKWENDA KWA MWANANGU" Msanii Maarufu Jacob Stephen (JB) akimshirikisha Amri Athumani (Mzee Majuto)

Mzee Majuto ni mzee mhuni wa Kupindukia anaeamua kwenda Mjini kumfuata Mwanae aliyemtelekeza "JB" Joshua Kamba"

Pata tafsiri mwenyewe kwa kithungu kilichotumika.......Grammar ni shida!! HIYO Clip ya Kwanza anauliza "unataka kusema wewe ni maarufu hapa??? ( familiar vs familian); (lesson vs leason"),

Hiyo inayosoma "No one Doesn't know me in this Village", back in a days I used to be a footballer" kwa kiswahili chake Mzee majuto anasema "Hakuna ambae hakunifahamu mimi enzi hizo katika kijiji hiki kutokana na umaarufu niliokuwa nao wa kucheza mpira"

Hiyo inasoma " You mean there is a away out here" kiswahili jamaa anauliza "Kwani hakuna nyumba zozote kule?"



Mtu anasema
 

Attachments

  • DID HE DO THIS.jpg
    DID HE DO THIS.jpg
    68.3 KB · Views: 186
  • FAMILIAN.jpg
    FAMILIAN.jpg
    69.7 KB · Views: 174
  • FAMOUS.jpg
    FAMOUS.jpg
    51.2 KB · Views: 142
  • IS HE YOUR DEBTOR.jpg
    IS HE YOUR DEBTOR.jpg
    62.7 KB · Views: 138
  • MADAFU.jpg
    MADAFU.jpg
    78.1 KB · Views: 141
  • NIENDELEE.jpg
    NIENDELEE.jpg
    32.5 KB · Views: 132
  • NO ONE DOESNT KNOW.jpg
    NO ONE DOESNT KNOW.jpg
    39.7 KB · Views: 130
  • TEACH LEASON.jpg
    TEACH LEASON.jpg
    51.9 KB · Views: 371
  • TRY LISTERNING.jpg
    TRY LISTERNING.jpg
    47.1 KB · Views: 111
  • WAY OUT.jpg
    WAY OUT.jpg
    46.4 KB · Views: 130
  • WASANII.jpg
    WASANII.jpg
    46.6 KB · Views: 144
  • WILL TAKE YOU.jpg
    WILL TAKE YOU.jpg
    63.7 KB · Views: 126
Ukiwa na raisi dhaifu..NOTHING (R) NOTHING will ever be right!
 
could be one of the reason why am pissed off with bongo movie,
Never been interested.
 
Just cant stand any bongo movie may be in a bus to dar or moshi not otherwise halafu ukicheki dstv swahili movie,unaona aibu the world is watching this,its a shame,
 
Just cant stand any bongo movie may be in a bus to dar or moshi not otherwise halafu ukicheki dstv swahili movie,unaona aibu the world is watching this,its a shame,
bahati mbaya wazungu hawamaind vitu vidogo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom