- Thread starter
- #21
Thank you, be blessedPole Dada
Thank you, be blessedPole Dada
Dah! Mnazidi kuniumizaRudi Kwa mumeo akupetipeti
Sir Jeff anachekea chooni mida hii 7400 USD za bureThank you, be blessed
Humpendi mumeo kwann???Dah! Mnazidi kuniumiza
Anampenda Sir JeffHumpendi mumeo kwann???
Kwa kadiri unavyoijua forex ndio inazidi ugumu na kuchoma njee nje2029 mpaka leo una experience ya kutosha, kwenye VAT hapo usiwaze utalipa 225,000 kama penalt
Nilianza forex 2029 kwa hiyo Nina uzoefu wa zaidi ya miaka mitatu, nilianza na dollars 800.
Bora ningekuwa nimemalizana na Ada za mwaka huuLazima kitu km cha sh 17m hicho, bora ungenunua kiwanja unawaza.
Hii comment imeniacha hoi yaani .Sasa hiyo pesa imefika vip kwa sir jeffSir Jeff anachekea chooni mida hii 7400 USD za bure
Ndugu yangu siamini hata kama ni mimi, kila sekunde najiuliza ilikuwajeMtaji wote huo ulisahau vipi kuweka stop loss
Tafuta usd 1000 uanze upya. Haiwezekan dola 7000 usiwe hata na pesa ya maana kwenye bank accBora ningekuwa nimemalizana na Ada za mwaka huu
Nimepatikana ntaficha wapi sura yangu
Ulijiamini sana! Ulilala au..? Hata Kama hukuweka stop loss si ungefunga tu ukachukua hiyo hasara..Ndugu yangu siamini hata kama ni mimi, kila sekunde najiuliza ilikuwaje
Tamaa mbayaUlijiamini sana! Ulilala au..? Hata Kama hukuweka stop loss si ungefunga tu ukachukua hiyo hasara..
Roho inataka kutoka yaan mim kweli wa kuchoma account?Umeliwa kekundu
Ebu fikiria naanzaje mim kuchoma account na uzee huu?Ulijiamini sana! Ulilala au..? Hata Kama hukuweka stop loss si ungefunga tu ukachukua hiyo hasara..
Sinaga tamaa sana forex ndio maana hiyo account haikuwi kwa kadi, huwa natoa dollar 250 tu kwa mwezi kumudu maisha,Tamaa mbaya