Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,624
- 272,389
Uchunguzi wetu wa muda mfupi umebaini kwamba pamoja n.a. kwamba kalenda zinaonyesha kuwa Leo ni sikukuu ya Christmass, Lakini familiar nyingi zimeelekeza watoto Wao kuchambua Dagaa karma kitoweo cha Sikukuu
Hali ni mbaya kuliko mnavyodhani lakini viongozi wanaleta kejeli ( Magari namba E yamejazana- Mwigulu)
Sikukuu hii ni karma haipo kutokana n.a. Ugumu wa Maisha, Lakini Je hali hii itavumiliwa hadi lini?
Hali ni mbaya kuliko mnavyodhani lakini viongozi wanaleta kejeli ( Magari namba E yamejazana- Mwigulu)
Sikukuu hii ni karma haipo kutokana n.a. Ugumu wa Maisha, Lakini Je hali hii itavumiliwa hadi lini?