Dagaa zawa Mboga ya Christmas 2025

Dagaa zawa Mboga ya Christmas 2025

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,624
Reaction score
272,389
Uchunguzi wetu wa muda mfupi umebaini kwamba pamoja n.a. kwamba kalenda zinaonyesha kuwa Leo ni sikukuu ya Christmass, Lakini familiar nyingi zimeelekeza watoto Wao kuchambua Dagaa karma kitoweo cha Sikukuu

FB_IMG_17665848212207148.jpg

Hali ni mbaya kuliko mnavyodhani lakini viongozi wanaleta kejeli ( Magari namba E yamejazana- Mwigulu)

Sikukuu hii ni karma haipo kutokana n.a. Ugumu wa Maisha, Lakini Je hali hii itavumiliwa hadi lini?
 
Uchunguzi wetu wa muda mfupi umebaini kwamba pamoja n.a. kwamba kalenda zinaonyesha kuwa Leo ni sikukuu ya Christmass, Lakini familiar nyingi zimeelekeza watoto Wao kuchambua Dagaa karma kitoweo cha Sikukuu

View attachment 3520300
Hali ni mbaya kuliko mnavyodhani lakini viongozi wanaleta kejeli ( Magari namba E yamejazana- Mwigulu)

Sikukuu hii ni karma haipo kutokana n.a. Ugumu wa Maisha, Lakini Je hali hii itavumiliwa hadi lini?
Mkuu umeanza tena uongo? Mimi niko huku BK na nilitoka home nimechinja kabisa mbuzi wawili! Kwa hiyo aliyepika dagaa atakuwa amependa mwenyewe!
 
Uchunguzi wetu wa muda mfupi umebaini kwamba pamoja n.a. kwamba kalenda zinaonyesha kuwa Leo ni sikukuu ya Christmass, Lakini familiar nyingi zimeelekeza watoto Wao kuchambua Dagaa karma kitoweo cha Sikukuu

View attachment 3520300
Hali ni mbaya kuliko mnavyodhani lakini viongozi wanaleta kejeli ( Magari namba E yamejazana- Mwigulu)

Sikukuu hii ni karma haipo kutokana n.a. Ugumu wa Maisha, Lakini Je hali hii itavumiliwa hadi lini?
Vipi umeandamana viunga gani Leo mkuu?
 
Magari namba E yamejazana- Mwigulu
Fala tu huyo eti anasema nanukuu ...kipindi hicho ikifika usiku mimi nilikua namsubiri shangazi yangu amalize kupika kisha anipe kanga yake anayoivaa ndio iwe shuka yangu ya kujifunika.. mwisho wa kunukuu by the time hapohapo ananyanyuka anaongea uqumanina
 
Kwako ndo wanachambua dagaa, baada ya kumaliza mlivyoiba tarehe 29 okt,

Halafu hyo haikuwa ajenda yenu, ajenda yenu ilikuwa KUANDAMANA LEO..
mbona hamjajitokeza tuwaone kidogo enyi nyumbu?

HALAFU NIMEJARIBU KUFUATILIA THREAD ZAKO NYINGI NI KAMA ZINAJIRUDIA KWA MAJIRA KAMA HAYA
 
Back
Top Bottom