Dagaa wa kukaangwa wa mwanza

Dagaa wa kukaangwa wa mwanza

Ndio nataka kuanza biashara afu na mtaji nao ni mdogo, kwa hiyo nikipata madebe kadhaa ya dagaa wakavu na kadhaa waliokaangwa itakua poa
Yote yanawezekana hatab ukitaka mzigo kesho unakuja
 
Natamani kweli ila kuwatumia hela bila kuwafahamu inakua ngumu. Ina maana Dar huwa hamna ofisi yenu ili nikachukulie dar?
 
Natamani kweli ila kuwatumia hela bila kuwafahamu inakua ngumu. Ina maana Dar huwa hamna ofisi yenu ili nikachukulie dar?
Usiwe na wasiwasi mkuu sisi tupo kwenye social networks zote tukifanya utapeli tutapoteza wateja wengi humu
 
Usiwe na wasiwasi mkuu sisi tupo kwenye social networks zote tukifanya utapeli tutapoteza wateja wengi humu
Poa nimekuelewa ila mwenzako mi ndio nataka kuanza, sasa natamani mtu ninaefanya nae biznez nijue physical location yake na details zingine, just incase of anything. You never know. Jiweke kwenye nafasi yangu, utaelewa.
 
Poa nimekuelewa ila mwenzako mi ndio nataka kuanza, sasa natamani mtu ninaefanya nae biznez nijue physical location yake na details zingine, just incase of anything. You never know. Jiweke kwenye nafasi yangu, utaelewa.
Upo sahihi.kwa wateja ambao kidogo wana wasiwasi hua tunawaambie watume advance mzigo ukifika ndo wamalizie malipo
 
Upo sahihi.kwa wateja ambao kidogo wana wasiwasi hua tunawaambie watume advance mzigo ukifika ndo wamalizie malipo
Nimekuelewa, let me think. Mnatuma kwenye mabasi? Gharama ya nauli ikoje?
 
Nimekuelewa, let me think. Mnatuma kwenye mabasi? Gharama ya nauli ikoje?
Kuanzia debe 15 ambayo ni gunia kubwa tunasafirisha bure ila chini ya hapo utagharamia usafiri.ila kujua garama natakiwa nijue unataka kiasi gan
 
Back
Top Bottom