GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,448
- 127,621
“ Baada ya tendo la ndoa mwanamke anashauriwa kulala kwa kujigeuzageuza kitandani usiku kucha “
Ni matumaini yangu makubwa An Eagle kuwa Zoezi hili murua kabisa Dada zetu hasa wale ambao Mabwawa yao ya Kidatu na Mindu hayajavunja Kingo zake na Kutiririsha Maji kuelekea Red Sea watalianza rasmi Usiku huu.
Kazi ipo!
Chanzo: TibaFasta.com na ElimikaWikiendi.com
Ni matumaini yangu makubwa An Eagle kuwa Zoezi hili murua kabisa Dada zetu hasa wale ambao Mabwawa yao ya Kidatu na Mindu hayajavunja Kingo zake na Kutiririsha Maji kuelekea Red Sea watalianza rasmi Usiku huu.
Kazi ipo!
Chanzo: TibaFasta.com na ElimikaWikiendi.com