Kama weupe wa asili abakie hivyo sio kuchubua ngozi kama anababua mapanki ya sangaraBinti akitumia mkorogo tu hata kama ni mzuri kiasi gani siwezi kumpenda hata chembe.
Naipenda sana rangi yangu mnooo, si mweusi wala mweupe kha kha kha chocolate babyyyyyy !!!
Hahahaaa ile harufu kama unapita kibaha pale kwa wachoma koroshoYani sijui wana mentality gani why ujichubue?? Mie na weusi wangu napeta tuu kwa raha zangu weusi wa kuteleza. Mkuu mtoa mada usemayo ni ukweli sijui wanapakaga mafuta ya aina gani harufu kama mabibo ya korosho.
Uliwatengenezea masale wapenda black beutyMie nashukru kuna mdada wa Tz nilikutana nae Uganda,baada ya kuanza mahusiano ya kunanihii nilimwambia kuwa sipendi anavyojichumbua. Kweli alisema hata yeye aliingia kwa kuiga baadae akanielewa na siku hiyo nikamnunulia ZIKUZOOKA tatu (ukizingatia nina uzoefu mkubwa na vipodozi) aanze dose ya kurudi katika ngozi yake asilia. Nashukru hadi leo anajuta kunimiss japo naamini masela wanamega tu kitu nilichokishauri mimi kiache
Mimi nshawahi kutapika kabisa nikiwa ndani ya gariHata Mimi hayo mafuta hua yananisumbua sana nikisikia tu kale kaharufu aisee nataka kutapika.
Kuuzunguka zunguka ukweli hutegemea na uhusiano wako na Huyo mtu. Ukiwa rafiki angu nakupa makavu si saturate ng'o but kama hatufahamiani ndo nitasaturate angalau hata na mate hivi. Well done mkuu wape wape vidonge vyao wakimeza au wakitema shauri yao.Kuambiwa ukweli sio tatizo, ila huo ukweli unauwasilishaje ndipo penye tatizo. Na hilo sio tatizo la wanawake tu, sidhani hata wewe ukikosolewa kihivyo ungejisikia vizuri. Mbona wapo hadi wanaume wanaojichubua!!!